mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Ni mtendaji mzuri sana tena mjue ni safi akipewa uenyekiti CHADEMA.
M tendaji mzuri katika unyang'anyi wa rasimali za nchi kwa manufaa yake.......
M richmond mzuri....... na baadae Dowans
M ccm mzuri aletolewa kama kondoo wa sadaka!!
Hawezi kuwa Chadema!
Yeye alizoea vya haramu na vya haramu vip ccm tu