mbogo31
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 711
- 173
Kila Dhambi husamehewa mtu akitubu, Lowasa ni mchapa kazi, mbunifu na anafaa kuwa waziri mkuu, ila lazima ajisafishe kwanza then atapokelewa chadema kwa mikono miwili, ndugu zangu tatizo si Lowasa tatizo ni ccm na mfumo wake wa utawala, hivi ukiwa ndani ya viongozi waadilifu wewe ukawa fisadi si utajulikana na kujiengua tu, so Lowasa karibu Chadema lakini baada ya kutubu na kuacha mambo yanayosemwa na watu, maana hakuna ajuae nini kilifanyika ila ni wewe na ccm wenzio ndio manajua picha yote.