Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Lowassa mnafiki kweli kweli. anashangaa nini? yeyey si ndio alikuwa anahubiri maamuzi magumu bungeni?????????????? au ahyo yamezidi unga ?? hahahah
Naongeza msisitizo, kuwa mwanaccm leo ni lazima uwe Taahira kwa 100% Rais hausiki na hili kwa sababu yeye sio mwanaccm bali anawatumia majuha kama wewe kujitajirisha yeye na familia yake na washirika wake kwa gia ya kujifanya mwanaccm.Futa kauli mkuu kwasababu umemtukana mpaka Rais wa hii nchi
Futa kauli mkuu kwasababu umemtukana mpaka Rais wa hii nchi
Maamuzi magumu haimaanishi kujiuzulu mkuu. BTW Lowassa anajiandaa kuchukua nchi kwahiyo kuachia kiti ni uamuzi wa kitoto kwake.Lowassa mnafiki kweli kweli. anashangaa nini? yeyey si ndio alikuwa anahubiri maamuzi magumu bungeni?????????????? au ahyo yamezidi unga ?? hahahah
Mgombea urais ajaye ajipange mnnoo ku raise 42bil au zaidi maanna mfadhili out gharama zipo pale
CCM hawajapata barua rasmi kutoka kwa Rostam kama Spika nae hajapata barua ya kujiuzulu kwake haya ni mambo ya kiofisi hata nyie hamwezi simama nje ya mnapofanyia kazi mkasema mmejiuzulu inabidi muandike barua sasa hamjaelewa nini hapo ?
Mkuu asikupotezee muda huyo puppet, yeye ni miongoni mwa wale walioanguka kilio hadi kuzimia pale Igunga jana. njaa imesababisha hata vijana weye uwezo wa kupambana na maisha kuishi maisha ya kubeba briefcase za watu. inasikitisha sana.Angalia tu akili yako wewe mwenyewe tukuweka wapi? We hujasikia CCM wanasema wamefanikiwa na kuwa RA kajiuzulu kwasababu walipewa siku 90 na CCM ya Nape na Mkama? na hapa Mkama anasema tena hajui kama RA kajiuzuru lipi la ukweli sasa?
By the way wewe comments zako hapa JF zinaonyesha unamatatizo kama hujui wai hospital Mkuu
nikiongelea kipengele cha pili ni kuwa spika baada ya kupata barua kutoka mhusika au chama chake ndio anawaandikia barua NEC ambao wanatangaza jimbo kuwa wazi na tarehe ya uchaguzi.
Kama unadhani sababu ni barua wewe unadhani jibu sahihi ni kusema hawajui kama kajiuzulu? na kwanini wanapogeuka nyuma wanasema kuwa wamefanikiwa kwenye hile agenda yao ya siku90, kwa RA kujiuzulu!?
Na kama hasipo pereka barua? unayo sheria inayosema kuwa mtu akitaka kujiuzulu Ubunge na NEC anatakiwa kuandika barua kwa Spika au Katibu wa Chama? anaweza kuchukuwa tamko lake kutoka kwenye vyombo vya habari alipoweka matamko yake.
Hah hah hah unauliza jibu tena hapo kashaplan kupitia A-town,cku izi ni Mt Meru,cfyo Ngrudoto tena!uwiiiiiiiii,jaman mapacha wa Mkulu!haya na mkuu wetu aliye mapumziko serengeti amelipokeaje au ndio linamfanya aongeze siku za kupumzika?
sasa swali kwa Nape............ atamuweza Loawassa????Lowasa ni piga ua, hawezi kuodoka kwenye madaraka kwa vile ndiyo yaliyompa utajiri alioa nao leo. Rostama alianza kuwa tajiri kidogo kabla hajawa mbunge; ubunge uliongezea utajiri kwa kasi kubwa lakini hata kama singekuwa mbunge bado alikuwa na utajiri na alikuwa anajua kuutafuta. Lowasa alianza kama mfanyakazi wa kawaida akiwa AICC na alipofika Dar baada ya kuukwaa ubunge na uwaziri ndipo akaanza utajiri. Kwa hiyo piga ua, nafasi hizo hatokuja kuziacha kwa hiari yake hata siku moja.
Futa kauli mkuu kwasababu umemtukana mpaka Rais wa hii nchi
Iiiiii nani EL labda awe Rais wa MonduliMaamuzi magumu haimaanishi kujiuzulu mkuu. BTW Lowassa anajiandaa kuchukua nchi kwahiyo kuachia kiti ni uamuzi wa kitoto kwake.
Aende Ngurdoto awekewe sumu!hakanyagi tena paleHah hah hah unauliza jibu tena hapo kashaplan kupitia A-town,cku izi ni Mt Meru,cfyo Ngrudoto tena!uwiiiiiiiii,jaman mapacha wa Mkulu!