KAMBONA
New Member
- Jun 8, 2011
- 3
- 0
lowasa amezihirisha yeye pekee ndio mtu mwenye nguvu kubwa kuliko wote ndani ya chama cha mapinduzi,hii inzidi kujiziirisha baada ya kila mchezo wa fitina anao shiriki kushinda kwa hasirimia zaidi ya 60%,tumeshuhudia kwenye kamati mbalil mbali za bunge,uteuzi wa mabalozi wa nchi.na sasa ameamua kuingia ndani ya uchaguzi wa daruso akiwa na ma Freemasonry watatu kijana wake kipenzi aliye mludisha kambini NAPE NNAUYE,SALUMU ALLY HAPPY na MATHIUS SAIMON KIPARA.hawa ni baadhi ya vijana 40 wa"EDLLE BOYS",ambao atafanya nao kazi ya kuingia ikulu 2015,tayari vijana wake wamekutana na" DARUSO BOARD"kila mjumbe kulamba milion 2,wameshatia mkono kuhakikisha akuna hata kijana mmoja asiyekuwa kada kupita kwenda kupigiwa kura,tayari tumeshuhudia mhanga wa kwanza kutolewa bila hata kuhojiwa bwana LISU,na wamehaidi kuiteka TAHLISO kuiweka chini ya EDDLE kabla ya vijana wake kumalizia UVCCM.MUNGU mbaliki LOWASA,mungu ibaliki TANZANIA.