Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,131
- 6,963
Sio kweli hakuna sheria yeyote inayosema hivo kama ipo itaje, nakumbuka wabunge waliwahi kusema wapigiwe salute wanajeshi wakasema waende kwenye makambi ili wawape kazi drill za kijeshi ili wajue salute si mchezo inasotewa ile week 6 bila kulala, wakaogopa sasa hilo halipo kwenye sheria za kijeshi wala hizi za huku uraiani.