katika kile cha sintaamini masikio yango mbunge wa monduli anasema na kuwasa viongozi kua wawe waadilifu na wasie mafisadi na wawatumikie wananchi ama kweli sina la kusema
katika kile cha sintaamini masikio yango mbunge wa monduli anasema na kuwasa viongozi kua wawe waadilifu na wasie mafisadi na wawatumikie wananchi ama kweli sina la kusema
Unajua dhambi ni dhambi inapokuwa kwa mwenzako ikiwa kwako huioni kama ni dhambi. Hata Mlevi ulevi wake hauoni ila wa wenzake ni rahisi kuwaita wenzake walevi ilia sio yeye hata kama amelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.