Dr Slaa naye atamgaragaza 2015 kwa asilimia za kutosha. Lowasa hawezi kusafishwa na maaskofu na mashekhe anaowafadhili. Kuanzia unataka mpaka hataki. Huo ndio ukweli.
Rais 2015 atatoka kaskazini iwe ni ccm au cdm
Hakika Edward Ngoyayi Ni Jiwe Walilolikataa Magamba! Wapambe wake wanapenda kumwita Edo huku kule kwao Monduli akijulikana kama Laigwanani Mkuu. Hakika sasa Magamba wote wakiongozwa na Nnauye Jr wanatetemeka Maana hawana uhakika ni lini Hilo Jiwe Walilolikataa litawaaangukia na kuwaponga ponda
CC:
zomba chama Ritz
Mkuu Matola, sio siku hizi, mimi sijawahi kushirikishwa kwenye kikao chochote!. Amini upigiaji debe wangu, ni wa kujitolea tuu kwa maslahi ya taifa haswa ile dhana ya ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania!.Pasco inaonekana siku hizi hushirikishwi kwenye vikao vya mikakati vya Lowasa, ushauri wako ulikuwa hujui ulisemalo, ni kwamba Sumaye hajatoswa na CCM bali amepigwa mweleka na JK pamoja na Lowasa ili kumuimarisha Lowasa 2015 na huu ndio mwisho wa Sumaye, mpinzani mmoja ameshapigwa hat trick na Urais hawezi kuthubutu kuuwaza tena. hawa hawakukutana barabarani.
Hakika Edward Ngoyayi Ni Jiwe Walilolikataa Magamba! Wapambe wake wanapenda kumwita Edo huku kule kwao Monduli akijulikana kama Laigwanani Mkuu. Hakika sasa Magamba wote wakiongozwa na Nnauye Jr wanatetemeka Maana hawana uhakika ni lini Hilo Jiwe Walilolikataa litawaaangukia na kuwaponga ponda
CC:
zomba chama Ritz
Naujua msimamo wake, nilichat nae informal, ila kwa vile ni off the record, tusubirie mpaka atakapoutangaza rasmi!.kwani dr slaa ameweka nia ya kugombea???
Pasco usiliache hilo jembe, hayo ndo majibu kukata hamu za akina nape, Lowassa I salute you.
lowasa kapata kura 709, mgombea mwingine 44, na mwingine kura 7, sasa hiyo 99.9% INATOKA WAPI?
ukiweka denominator 760 inakuja lowasa 93% ..
KUWA MUUNGWANA ONDOA HIYO 99.9% WEKA 93% inaniletea usumbufU, na kuninyima haki yangu ya kikatiba ya kupata habari ya UKWELI!!!!
viongozi wa dini wameanza kukataa fedha zake za kifisad atahamishia kampeni wapi?
Mkuu Marire, huyu sio fisadi, huyu ni mjasiliamali wa kukopa fedha za umma na kuziwekeza kwenye mijengo!. Hata wale wajasiliamali wa EPA, wengi waliwadhania ni wezi, kumbe kiukweli wale walikuwa ni wakopaji bila dhamana kwa mikopo isiyo na riba!, waliorudisha wanapeta!, vile vijikesi zuga na uchwa ni wale tuu walioshindwa kuurudisha mkopo ule usio na dhamana wala riba!
Hakika Edward Ngoyayi Ni Jiwe Walilolikataa Magamba! Wapambe wake wanapenda kumwita Edo huku kule kwao Monduli akijulikana kama Laigwanani Mkuu. Hakika sasa Magamba wote wakiongozwa na Nnauye Jr wanatetemeka Maana hawana uhakika ni lini Hilo Jiwe Walilolikataa litawaaangukia na kuwaponga ponda
CC:
zomba chama Ritz
Ndio anatisha huyo mwamba wa kaskazini lazima Rais atoke hukoanatisha kwa kipi?kwa huo ujumbe wake wa wilaya ya monduli au