Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,889
- 32,292
- Thread starter
- #81
Naona mnapiga ngoma na kucheza wenyewe, mnakubali mgombea wa chama chenu kutoka kaskazini, kwa vyama vingine sio haruhusiwi mgombea wa uraisi kutoka kaskazini? shame on them, sasa mmehanza kucheza kiduku, alafu kumbukeni Lowasa ni mkristo so mahakama ya kazi haiwezi patikana ktk utawala wake
Mkuu Lowassa kiongozi pekee aliyeongoza kwa mafanikio makubwa Kituo cha Mikutano (AICC) katika kipindi ambacho Jumuiya ya Afrika Mashariki ilikuwa ikikabiliwa na changamoto nyingi za kisiasa, kiuchumi, na kijamii.