mwana wa mtu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 220
- 53
Wana JF,
Kuna habari zinaendelea kunong'onwa chini kwa chini kwamba Edward Lowassa, Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa lazima hivi sasa anatoa support kwa pande kuu mbili zinazopingana kisiasa CCM- ianyoongoza serikali rasmi na CHADEMA inayoongoza serikali nje ya ofisi.
Taarifa zilizopo zinajikita katika hoja zifuatazo;
1. Kwa kipindi kirefu Lowassa amejionesha, na anaendelea kujionesha kuwa bado ana nia ya dhati ya kuja kuingia kwenye kinyang'anyiro cha Urais, na kwa kuwa kwa sasa inaadaiwa anapima upepo, ameanza kutoa support kote kuwili ili kuweza kujenga future yake-hata kama si kwa urais.
2. Wanadai hivyo wanasema pia kuwa kwa kipindi kirefu haijanukuliwa au kusikika Lowassa akiwashambulia CHADEMA waziwazi, na hata kwa uficho, ukiachia mbali Chadema waliweka mgombea wa ubunge kwenye jimbo lae, lakini hajawahi kuwa-deal uongozi wa juu wa Chadema kuhusu hilo...
3. Ukiachia mbali kuwa kwa sasa amekuwa akitoa matamko mengi yanayokinzana na misimamo ya CCM, ingawa yaweza kutazamwa kama uleule mkakati wake wa kurejea kwenye safu na kujipanga, lakini mengi ya matamko haya yanadaiwa kuwa kwa namna moja ama nyingine kwenda sambamba na misimamo ya CDM; mfano suala la katiba, tahadhari kuhusu Arusha kabla ya maandamano, jana kaibuka na suala la mishahara ya wafanyakazi..na mengine kama mnakumbuka..
Ni kwasababu ya hizo hoja, inadaiwa kuwa kumekuwa na juhudi fulani anazifanya ama zimeshafanyika, za kutoa support kwa CDM katika shughuli zake, bila kusahau kuwa bado yuko kwenye chama chake CCM akiwa damu damu na huku akiungwa mkono na wengi sana kwenye vikao vikuu na ambao ndio tumaini lake hapo baadae.
Maswali ni je, kama habari hizi ni za kweli, kuna athari gani kwa pande zote mbili,..na hasa CHADEMA ambako mtu kama huyu itakuwa ni maajabu kuwa na 'link'...tafadhali tujadiliane hili.
Kuna habari zinaendelea kunong'onwa chini kwa chini kwamba Edward Lowassa, Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa lazima hivi sasa anatoa support kwa pande kuu mbili zinazopingana kisiasa CCM- ianyoongoza serikali rasmi na CHADEMA inayoongoza serikali nje ya ofisi.
Taarifa zilizopo zinajikita katika hoja zifuatazo;
1. Kwa kipindi kirefu Lowassa amejionesha, na anaendelea kujionesha kuwa bado ana nia ya dhati ya kuja kuingia kwenye kinyang'anyiro cha Urais, na kwa kuwa kwa sasa inaadaiwa anapima upepo, ameanza kutoa support kote kuwili ili kuweza kujenga future yake-hata kama si kwa urais.
2. Wanadai hivyo wanasema pia kuwa kwa kipindi kirefu haijanukuliwa au kusikika Lowassa akiwashambulia CHADEMA waziwazi, na hata kwa uficho, ukiachia mbali Chadema waliweka mgombea wa ubunge kwenye jimbo lae, lakini hajawahi kuwa-deal uongozi wa juu wa Chadema kuhusu hilo...
3. Ukiachia mbali kuwa kwa sasa amekuwa akitoa matamko mengi yanayokinzana na misimamo ya CCM, ingawa yaweza kutazamwa kama uleule mkakati wake wa kurejea kwenye safu na kujipanga, lakini mengi ya matamko haya yanadaiwa kuwa kwa namna moja ama nyingine kwenda sambamba na misimamo ya CDM; mfano suala la katiba, tahadhari kuhusu Arusha kabla ya maandamano, jana kaibuka na suala la mishahara ya wafanyakazi..na mengine kama mnakumbuka..
Ni kwasababu ya hizo hoja, inadaiwa kuwa kumekuwa na juhudi fulani anazifanya ama zimeshafanyika, za kutoa support kwa CDM katika shughuli zake, bila kusahau kuwa bado yuko kwenye chama chake CCM akiwa damu damu na huku akiungwa mkono na wengi sana kwenye vikao vikuu na ambao ndio tumaini lake hapo baadae.
Maswali ni je, kama habari hizi ni za kweli, kuna athari gani kwa pande zote mbili,..na hasa CHADEMA ambako mtu kama huyu itakuwa ni maajabu kuwa na 'link'...tafadhali tujadiliane hili.