sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
mwacheni lowasa nyie''au anawafanya mnakuna vichwa???
kweli huyu jamaa ni natural causes tu ndizo zitakazomuondoaataishia kupata stroke mwache aendelee kuhangaika, kwa upande mwingine mwache aendelee kurudisha pesa zetu alizotuibia
Tupo watanzania takriban 40mil hv lazma wawe ni hawa hawa waliokaa madarakan miaka nenda rud??mbona hawa ndo wametufikisha hapa tulipo??au wewe ndo unataka hali hii??Lowassa kawa waziri miaka mingap??did you see any significant change au ni ushabiki tu??Hebu tufikirie wapya jaman hawa waliokwisha ishika hii nchi ktk ngaz mbali mbali tushaona utendaji wao. Nadhani hakuna utendaj unaoguarantee kututoa hapa, so far had sasa woooote wa magamba wanaelement za wizi. Bora tujaribu na wengine pls.kwa hali tuliyofikia watanzania kwa sasa, Lowassa ndiye mwenye uwezo wa kututoa kutoka kwenye uongozi uliojaa NEGATIVITY nyingi kwenda kwenye POSITIVITY. Time will tell