mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
nyerere anavyosema hivyo kua mtu anatumia pesa ili kuingia ikulu of coz u have to spend money kama unataka kua Rais waulize akina obama/romney watakuambia jinsi wanavyotumia hela nyingi ili wapate kura za wananchi...tatizo la hapa bongo sio lowasa au viongozi wengine bali ni wananchi..mwananchi ukipewa baiskeli ukakataa au ukipewa kanga au shs 10000 ukakataa basi hamna mtu atakae honga...