Lowassa AKIRI alitajwa kwenye NEC ya Aprili kujivua gamba!

zamwamwa

Member
Jun 16, 2011
46
10
Huku akitetemeka EL anasema...
" ...ni kweli Ndugu Mwenyekiti kuwa tulitajwa watu watatu kwenye NEC ya April kuwa tunatuhumiwa kwa ufisadi huko "site".... Lakini niliamini yale yalikuwa mtazamo wa baadhi ya watu lakini yalikuwa hayajathibitishwa, na niliamini yalikuwa ni kwa ajili ya vikao vya ndani, sasa wenzetu wawili Nape na Chiligati wameenda kuyatumia nje na kupita kila kona wakiniita mie fisadi... Hii imenidhalilisha sana Ndg. Mwenyekiti. Nadaiwa nilikupunguzia na kukuharibia kura wakati wa uchaguzi mkuu, kisa ulininadi mie mchafu, hili nalo limenidhalilisha sana. Sasa hatima ya hawa walionitukana kiasi hiki ni nini? ( Kikwete anacheka kwa dharau, anainama na kuuliza hoja nyingine)!!!"

My take Edward umeshauzwa kwa bei nafuu, ulipanda mbegu mbaya wakati wa mtandao, ukachafua watu ulivyotaka kisa we mwenyekiti wa mtandao, sasa unavuna ulichopanda, uliua kwa upanga utakufa kwa upanga vilevile, Mungu hadanganyiki...
 
.... Na nichukue nafasi hii kuwashukuru NEC kwa uamuzi wa kutomfukuza mapema kwani pesa anazozirudisha makanisani baada ya kuziiba sana angeacha mngekuwa mmemfukuza, bora hivi sasa aendelee kutoa sadaka kwa makanisa dhambi zipungue.... Makanisa mnaotaka wasilianeni na mimi au John N... Atawafanyia mpango mpate pesa zenu back...
 
.... Na nichukue nafasi hii kuwashukuru NEC kwa uamuzi wa kutomfukuza mapema kwani pesa anazozirudisha makanisani baada ya kuziiba sana angeacha mngekuwa mmemfukuza, bora hivi sasa aendelee kutoa sadaka kwa makanisa dhambi zipungue.... Makanisa mnaotaka wasilianeni na mimi au John N... Atawafanyia mpango mpate pesa zenu back...

Nnauye Jr kwenye post mojawapo hapa jamvini inayohusu Kikao cha Membe na wengineo, alitaja jina la JOHN. Hapa pia naona Mkuu ZAMWAMWA naye ametaja jina la JOHN, what a coincidence!

Post yako ya juu the way inavyosomeka ni kama vile ya mtu aliyekuwa ndani ya kikao cha NEC siku Lowassa alipojitetea, je, nawe ni mjumbe wa kikao hicho? Au ni mmoja wa wale waliokuwa wanasikiliza mwenendo wa kikao cha NEC kwa kutumia simu?

Utasaidia zaidii iwapo unaweza kumwaga kila kitu kilichotokea ndani ya kikao badala ya kutupatia vipande tu vya yale aliyoyasema Lowassa kwa malengo yako binafsi. Maana Raia Mwema wameandika kwamba kuna uongo mwingi ambao ulikuwa reported kwenye magazeti kwa kuwa magazeti mengi yalimtumia mtu mmoja tu kuandaa habari hiyo na mtu huyo alikuwa nje ya ukumbi akiwa amepiga simu kwa ajili ya kusikiliza maelezo ya Lowassa na Sumaye.
 
Nnauye Jr kwenye post mojawapo hapa jamvini inayohusu Kikao cha Membe na wengineo, alitaja jina la JOHN. Hapa pia naona Mkuu ZAMWAMWA naye ametaja jina la JOHN, what a coincidence!

Post yako ya juu the way inavyosomeka ni kama vile ya mtu aliyekuwa ndani ya kikao cha NEC siku Lowassa alipojitetea, je, nawe ni mjumbe wa kikao hicho? Au ni mmoja wa wale waliokuwa wanasikiliza mwenendo wa kikao cha NEC kwa kutumia simu?

Utasaidia zaidii iwapo unaweza kumwaga kila kitu kilichotokea ndani ya kikao badala ya kutupatia vipande tu vya yale aliyoyasema Lowassa kwa malengo yako binafsi. Maana Raia Mwema wameandika kwamba kuna uongo mwingi ambao ulikuwa reported kwenye magazeti kwa kuwa magazeti mengi yalimtumia mtu mmoja tu kuandaa habari hiyo na mtu huyo alikuwa nje ya ukumbi akiwa amepiga simu kwa ajili ya kusikiliza maelezo ya Lowassa na Sumaye.

Mkuu nimependa umakini wako kama kawaida. Maswali yako yanahitaji majibu makini. Ila nchi iko katka wakati mbaya sana kuliko tunavyoona. Tunakoelekea miaka mitano ijayo ni kubaya sana. Tusahau ile Tanzania ya amani tunayoijua. Hakuna amani kwenye watu wanaolazimisha kuwaburuza wengine simple kwa kuwa wana fedha.
 
Huku akitetemeka EL anasema...
" ...ni kweli Ndugu Mwenyekiti kuwa tulitajwa watu watatu kwenye NEC ya April kuwa tunatuhumiwa kwa ufisadi huko "site".... Lakini niliamini yale yalikuwa mtazamo wa baadhi ya watu lakini yalikuwa hayajathibitishwa, na niliamini yalikuwa ni kwa ajili ya vikao vya ndani, sasa wenzetu wawili Nape na Chiligati wameenda kuyatumia nje na kupita kila kona wakiniita mie fisadi... Hii imenidhalilisha sana Ndg. Mwenyekiti. Nadaiwa nilikupunguzia na kukuharibia kura wakati wa uchaguzi mkuu, kisa ulininadi mie mchafu, hili nalo limenidhalilisha sana. Sasa hatima ya hawa walionitukana kiasi hiki ni nini? ( Kikwete anacheka kwa dharau, anainama na kuuliza hoja nyingine)!!!"

My take Edward umeshauzwa kwa bei nafuu, ulipanda mbegu mbaya wakati wa mtandao, ukachafua watu ulivyotaka kisa we mwenyekiti wa mtandao, sasa unavuna ulichopanda, uliua kwa upanga utakufa kwa upanga vilevile, Mungu hadanganyiki...

Haswaaa.....whatever happening to EL now is the result of what he did in the past
 
Mkuu nimependa umakini wako kama kawaida. Maswali yako yanahitaji majibu makini. Ila nchi iko katka wakati mbaya sana kuliko tunavyoona. Tunakoelekea miaka mitano ijayo ni kubaya sana. Tusahau ile Tanzania ya amani tunayoijua. Hakuna amani kwenye watu wanaolazimisha kuwaburuza wengine simple kwa kuwa wana fedha.

Mkuu Halisi ninakusikia na ninaelewa hoja yako. Ninajua unaweza kuwa na details za yanayoendelea nyuma ya pazia. Mimi nikisikia jinsi wanavyotishana ndio ninafurahi zaidi kwa kuwa kwangu mimi amani ilipotea tangu 1995 na kila mwaka wa uchaguzi huwa ni maumivu tu. Wacha waburuzane, maana wakiburuzana sana mwisho wengine wanaweza kuongoka na kuamua kuwa wakweli badala ya kuendelea kuwa wanafiki.

Sakata la Arusha siku Polisi walipowazuwia vijana wa Lowassa kufungua matawi, wale vijana waligoma na polisi hawakufanya kitu. Bado polisi wakabebeshwa tuhuma za kufanya kazi kwa maagizo ya mtoto wa kigogo ambaye alipiga simu kutoka Dar. Millya ambaye alitoa hizo tuhuma hakufanywa kitu na mpaka leo hii Kamanda Akili Mpwapwa hajasema lolote na Millya anadunda tu. Mbona hawa polisi huwa ni wepesi sana wa kurusha virungu na kumwaga mabomu ya machozi kwa wapinzani kwa kisingizio kwamba hawana kibali?

Watu tukisema kwamba Tanzania inaongozwa na serikali mbili, tunaonekana wazushi. Watu tukisema uongozi wa JK ni legelege wapambe wake wanakuja kutudanganya kwamba JK ni imara. Hivi kweli Rais na Mwenyekiti wa Chama anaweza kutishwa na Lowassa? Kuna nini ambacho kinamfanya atishike mpaka ashindwe kuchukua hatua zinazostahili tangu alipokuja na hoja yake ya kujivua gamba?

Mgogoro wa Arusha na mkusanyiko wa baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani Dodoma wakati wa vikao vya Kamati ya Maadili, Kamati Kuu, na NEC ni dalili nzuri sana, labda inaweza kumzindua jamaa na kuamua kuweka mambo sawa kitu ambacho kinaweza kuleta some changes na kubadilisha mwelekeo mzima wa Uchaguzi wa 2015. Lakini wakiendelea kubebana na kubembelezana ikifika 2015 wataanza kuwatumia Polisi, UwT, Tume ya Uchaguzi, TAKUKURU, na hata JWTZ na bado tutaishia kupata maumivu mengine.

Kwa hiyo mimi ninamshukuru sana Lowassa, wacha aendelee kumtisha JK, may be hilo linaweza kusababisha wenye kukosa uvumilivu kutimka baada ya kuona kwamba Mwenyekiti wao yupo yupo tu na hawezi hata kusimamia kile anachotaka kifanyike. Vitisho hivyo vikiendelea akina Nape watakosa cha kuwadanganya waTanzania maana yale waliyosema yatafanyika hayafanyiki au maazimio ya NEC hayatekelezeki. Matokeo yake wameanza kuzungusha hoja, bado hata hiyo Kamati ya Maadili ikiamua kuwashughulikia watuhumiwa, taarifa itakapopelekwa kwenye vikao vya NEC bado moto wanaoukwepa utawaka tu.
 
Haswaaa.....whatever happening to EL now is the result of what he did in the past

Mkuu Waberoya,

Ni yepi ambayo EL aliyafanya bila ridhaa ya JK? Hivi kweli kwenye kampeni za kusaka tiketi ya ugombea kupitia CCM, mgombea (JK) anaweza kukubali njia chafu zitumike bila ridhaa yake mwenyewe? Kama ni kweli JK hakufurahishwa na njia hizo kwanini hakuji-disassociate na hao ambao walikuwa wakitumia njia hizo? Sumaye alisema ukiona mtu anaingia Ikulu kwa njia za udanganyifu wa kalamu (kupaka watu matope) basi ujue kwamba atatawala kwa mtutu.

JK anashindwa kuchukua hatua kwa kuwa uchafu/tuhuma zote za Lowassa zinafahamika kwa JK na si ajabu zilifanywa with JK's knowledge/blessings. Sasa wakati wa JK kuchukua hatua umewadia, anazidi kupiga chenga, mwisho beki watakuja na kumpoka huo mpira au atapiga kwa kumlenga kipa au akapiga fyongo/ugoko na mpira ukaenda nje. Hizo ni dalili za kiwewe/woga na kutojiamini.
 
Nnauye Jr kwenye post mojawapo hapa jamvini inayohusu Kikao cha Membe na wengineo, alitaja jina la JOHN. Hapa pia naona Mkuu ZAMWAMWA naye ametaja jina la JOHN, what a coincidence!

Post yako ya juu the way inavyosomeka ni kama vile ya mtu aliyekuwa ndani ya kikao cha NEC siku Lowassa alipojitetea, je, nawe ni mjumbe wa kikao hicho? Au ni mmoja wa wale waliokuwa wanasikiliza mwenendo wa kikao cha NEC kwa kutumia simu?

Utasaidia zaidii iwapo unaweza kumwaga kila kitu kilichotokea ndani ya kikao badala ya kutupatia vipande tu vya yale aliyoyasema Lowassa kwa malengo yako binafsi. Maana Raia Mwema wameandika kwamba kuna uongo mwingi ambao ulikuwa reported kwenye magazeti kwa kuwa magazeti mengi yalimtumia mtu mmoja tu kuandaa habari hiyo na mtu huyo alikuwa nje ya ukumbi akiwa amepiga simu kwa ajili ya kusikiliza maelezo ya Lowassa na Sumaye.

Mi tokea majuzi nimekua nikiwatahadharisha watu hapa,wasishangilie propaganda za magazeti yaliyokuwa yamenunuliwa mapema na genge la lowassa kuhodhi habari za kikao cha nec na kuandika kwa kumbeba lowassa,hali ya lowassa ndani ya ccm ni mbaya na matokeo ya kile kikao yalikua mabaya kwa lowassa....

kitendo cha lile suala kufanikiwa kuondolewa nec kupelekwa kamati kuu ambako jakaya ana nguvu ni kiama kwa lowassa,sasa hivi anasubiri huruma ya mwenyekiti tu!na wazee wote akiwamo mkapa wanataka ccm iachane na lowassa ili kulinda heshima na kurejesha umoja na pia lowassa anatakiwa kudhibitiwa na vyombo vya usalama asichafue hali ya hewa na mtandao wake...

hali ambayo itasababisha washirika wake wa karibu kuanza kumuepuka kuogopa matatizo!
 
.... Na nichukue nafasi hii kuwashukuru NEC kwa uamuzi wa kutomfukuza mapema kwani pesa anazozirudisha makanisani baada ya kuziiba sana angeacha mngekuwa mmemfukuza, bora hivi sasa aendelee kutoa sadaka kwa makanisa dhambi zipungue.... Makanisa mnaotaka wasilianeni na mimi au John N... Atawafanyia mpango mpate pesa zenu back...
Dont be stupid wewe,anayekuambia Mungu anasamehe watu kawa kurudisha pesa ni nani,Lowwasa aliiba kwa nani,usipende kuropoka nyambafuuuuuuuuuu
 
mi tokea majuzi nimekua nikiwatahadharisha watu hapa,wasishangilie propaganda za magazeti yaliyokuwa yamenunuliwa mapema na genge la lowassa kuhodhi habari za kikao cha nec na kuandika kwa kumbeba lowassa, hali ya lowassa ndani ya ccm ni mbaya na matokeo ya kile kikao yalikua mabaya kwa lowassa....

kitendo cha lile suala kufanikiwa kuondolewa nec kupelekwa kamati kuu ambako jakaya ana nguvu ni kiama kwa lowassa,sasa hivi anasubiri huruma ya mwenyekiti tu! Na wazee wote akiwamo Mkapa wanataka CCM iachane na Lowassa ili kulinda heshima na kurejesha umoja na pia Lowassa anatakiwa kudhibitiwa na vyombo vya usalama asichafue hali ya hewa na mtandao wake...

hali ambayo itasababisha washirika wake wa karibu kuanza kumuepuka kuogopa matatizo!

:a s 465:
 
.... Na nichukue nafasi hii kuwashukuru NEC kwa uamuzi wa kutomfukuza mapema kwani pesa anazozirudisha makanisani baada ya kuziiba sana angeacha mngekuwa mmemfukuza, bora hivi sasa aendelee kutoa sadaka kwa makanisa dhambi zipungue.... Makanisa mnaotaka wasilianeni na mimi au John N... Atawafanyia mpango mpate pesa zenu back...

Kumbe zile pesa zilikuwa za Kanisa? nilikuwa sijui asante sana mkuu.
 
kwa nini itumike nguvu nyingi hivyo ili kujua nini ilikuwa 'meeting agenda' ya NEC.? Inatia shaka kwamba these units are only friendly to public media when they have interests to pursue, ila inapokuja kuonekana kuna uwezekano wa 'kuvuana nguo' the media becomes a potential threat.! Wanahabari, vp, hamna tiba ya huo ugonjwa?
 
Akiri, Asikiri 2012 ni mwisho wa hizi ngebe zote. Tusubiri tuone. Umeona wapi issue inashinda kikao cha maamuzi inarudishwa tena kwenye kijikamati! badala ya kupeleka kikao cha mwisho yaani Mkutano Mkuu! Chama hivi sasa kimejaza Wagagagigigogo! tupu
 
Mhhhhhh,
NIMESTUKA KIDOGO BAADA YA KUSOMA HAYA MANENO, KWANZA YANAONEKANA NI YA MTU ALIKUWA NDANI YA KIKAO AU ALISIKILIZA KWA SIMU KAMA INAVYODAIWA KUWA WAKATI EL ANAONGEA ALIMPIGIA SIMU MWANAE FREDY " the coming prince" NA SWAIBA WAKE MKUBWA KIBANDA NA SME OTHER TWO VIP TO HIM.

LA PILI KUBWA NAJIULIZA KAMA ALIKIRI KUTAJWA NA NEC ILIYOPITA KAMA MOJA YA WATUHUMIWA WA UFISADI ILIKUWAJE AWALALAMIKIE NAPE NA CHILIGATI KWENYE NEC HIYOHIYO KUWA WALITUNGA MANENO???? LAKINI NIMEWAHI KUSOMA MAHALI KUWA MAPACHA WATATU WALIWAHI KUITWA NA MSEKWA KUHOJIWA NA KAMATI NDOGO YA MAADILI, TENA NAAMBIWA WALIITWA KWA BARUA, ILIKUAJE EL AKAWASHUTUMU TENA KINA NAPE NA CHILIGATI WALITUNGA BADALA YA KUJIULIZA INAKUAJE MFUMO MZIMA WA CHAMA UFANYIE KAZI MAMBO YA KUTUNGWA??? naamini kuna video nyengine kubwa YAJA, TUSUBIRI,.


QUOTE=zamwamwa;2908806]Huku akitetemeka EL anasema...
" ...ni kweli Ndugu Mwenyekiti kuwa tulitajwa watu watatu kwenye NEC ya April kuwa tunatuhumiwa kwa ufisadi huko "site".... Lakini niliamini yale yalikuwa mtazamo wa baadhi ya watu lakini yalikuwa hayajathibitishwa, na niliamini yalikuwa ni kwa ajili ya vikao vya ndani, sasa wenzetu wawili Nape na Chiligati wameenda kuyatumia nje na kupita kila kona wakiniita mie fisadi... Hii imenidhalilisha sana Ndg. Mwenyekiti. Nadaiwa nilikupunguzia na kukuharibia kura wakati wa uchaguzi mkuu, kisa ulininadi mie mchafu, hili nalo limenidhalilisha sana. Sasa hatima ya hawa walionitukana kiasi hiki ni nini? ( Kikwete anacheka kwa dharau, anainama na kuuliza hoja nyingine)!!!"

My take Edward umeshauzwa kwa bei nafuu, ulipanda mbegu mbaya wakati wa mtandao, ukachafua watu ulivyotaka kisa we mwenyekiti wa mtandao, sasa unavuna ulichopanda, uliua kwa upanga utakufa kwa upanga vilevile, Mungu hadanganyiki...[/QUOTE]
 
Mkuu Waberoya,

Ni yepi ambayo EL aliyafanya bila ridhaa ya JK? Hivi kweli kwenye kampeni za kusaka tiketi ya ugombea kupitia CCM, mgombea (JK) anaweza kukubali njia chafu zitumike bila ridhaa yake mwenyewe? Kama ni kweli JK hakufurahishwa na njia hizo kwanini hakuji-disassociate na hao ambao walikuwa wakitumia njia hizo? Sumaye alisema ukiona mtu anaingia Ikulu kwa njia za udanganyifu wa kalamu (kupaka watu matope) basi ujue kwamba atatawala kwa mtutu.

JK anashindwa kuchukua hatua kwa kuwa uchafu/tuhuma zote za Lowassa zinafahamika kwa JK na si ajabu zilifanywa with JK's knowledge/blessings. Sasa wakati wa JK kuchukua hatua umewadia, anazidi kupiga chenga, mwisho beki watakuja na kumpoka huo mpira au atapiga kwa kumlenga kipa au akapiga fyongo/ugoko na mpira ukaenda nje. Hizo ni dalili za kiwewe/woga na kutojiamini.


supported!
 
Back
Top Bottom