KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
kamanda achana na hawa ccm lowassa mchana wanajifanya ccm usiku kumbe ni vinega,tuachie sisi hawa tutaoangaika naoHoja ya kutoa matokeo ya kura za maoni Facebook nayo ni mufilisi, lini nimewahi kutoa matokeo hayo kwa chaguzi zote za kura za maoni ndani ya Chama changu? Hakika nawasumbua vichwa vyenu mafisadi na hii ni faraja kubwa kwangu!!!