sasa nimeamini Lowasa anataka urais kwa gharama yoyote ile na anaungwa mkono na Rais jk,lkn niwakumbushe wenzangu mwaka 1997 kikwte hakuwa amechafuka kwa jamii alichafuka kwa viongozi wenzake tena kwa mambo yao ya starehe zao lkn leo EL amechafuka kwa jamii nzima.Akimsingizia Nape leo atakuwa anamuonea tu mana amechafuka kabla nape hajakuwa mwenezi anachotakiwa aje barabarani atueleze ukweli sisi watu wa site na pia atuambie kwanini baba wa Taifa alimkataa toka mwaka 1995 pale dodoma atueleze tu jee tukimpa huo urais anaoupigania Hatutapata laana ya baba wa Taifa?otherwise sitamkubali Lowasa