Lowassa agawa tisheti kanisani

uvivumwiko

Member
Mar 22, 2010
20
1
Inasemekana kuwa Kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la Monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi IMEKWISHA kanisani Monduli. Hii siyo rushwa? PCCB wanasemaje?

Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA.
 
anajiandaa kugombea ubunge tena huko kwao! hana lolote!
 
Inasemekana kuwa Kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la Monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi IMEKWISHA kanisani Monduli. Hii siyo rushwa? PCCB wanasemaje?

Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA.
Umeenda sawa koote, lakini hapo kwenye red ndo umekuja kuchemsha!

Lutheran na Katoliki walikutana katika mazingira gani ya Ibada?

Lakini pia na ijulikane EL ni muumini wa kawaida sana wa madhehebu yake, je kila akifanya msaada , hata kiimani, ionekane kana kwamba anatoa rushwa?

Lakini hiki ni kipindi cha kwaresma kwa watu wa madhehebu uliyotaja, na katika kipindi hicho, wakristu wanatakiwa kujinyima na kuwapa wenye uhitaji, huoni kwamba alitimiza hilo?
 
Inasemekana kuwa Kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la Monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi IMEKWISHA kanisani Monduli. Hii siyo rushwa? PCCB wanasemaje?

Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA.
We Mvivu Daima,
Naona hapa umetudanganya! Kwanza ulianza habari kuwa ...inasemekana....(yaani hukuwepo umesikia tu kwa watu), sentensi iliyofuata unasema....Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi IMEKWISHA kanisani Monduli (je inamaanisha hapa kuwa ulikuwepo in person na kuona ugawaji ukitendeka? kama ulikuwepo lilikuwa kanisa lipi?,
halafu uwongo wako mwnigine unamalizia...Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA. (hapa tena umeonyesha kuwa haukuwepo katika eneo la tukio, lakini pia kukuambia wewe ni mwongo...Walutheri na Wakatoliki waligombania hizo Tshirts wapi maana hawa watu wanasali katika makanisa tofauti....hapa inaonyesha wewe ni mwongo mkubwa sana na haufai kuwa source ya information ya JF...moderator inabidi aangalie post zako...maana si za kweli na hazijafanyiwa utafiti wala upembuzi wowote kabla haijapostiwa.....you have misleaded us!!!!!) Acha unafiki na uongo. Say the truth to ashame the devil. Your info pose integrity and reliability doubtness!!!!!! If you are offended you deserved it as we can read between the lines!!!!
 
uvivumwiko
Junior Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Mon Mar 2010
Posts: 2
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts

No comment.....
 
that is typical m-Tz!! Lazma arembe, ajichanganye na ajifanye alikuwepo... Matokeo yake unaandika kitu ki-umbye'mbeya na kupoteza hata maana halisi
 
Narekebisha sentensi kama ifuatavyo. Nilisikia kuwa EL aligawa tisheti kwa nyakati tofauti katika makanisa hayo. Mimi sikuwepo kwenye eneo la tukio. Nakubali nimechemsha kutokuiweka sentensi sawa.
 
Narekebisha sentensi kama ifuatavyo. Nilisikia kuwa EL aligawa tisheti kwa nyakati tofauti katika makanisa hayo. Mimi sikuwepo kwenye eneo la tukio. Nakubali nimechemsha kutokuiweka sentensi sawa.

Hongera kwa ujasiri wa kukiri. Ni wachache sana hifanya hivyo.

Karibu JF maana unaonekana ni kuku mgeni.
 
We Mvivu Daima,
Naona hapa umetudanganya! Kwanza ulianza habari kuwa ...inasemekana....(yaani hukuwepo umesikia tu kwa watu), sentensi iliyofuata unasema....Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi IMEKWISHA kanisani Monduli (je inamaanisha hapa kuwa ulikuwepo in person na kuona ugawaji ukitendeka? kama ulikuwepo lilikuwa kanisa lipi?,
halafu uwongo wako mwnigine unamalizia...Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA. (hapa tena umeonyesha kuwa haukuwepo katika eneo la tukio, lakini pia kukuambia wewe ni mwongo...Walutheri na Wakatoliki waligombania hizo Tshirts wapi maana hawa watu wanasali katika makanisa tofauti....hapa inaonyesha wewe ni mwongo mkubwa sana na haufai kuwa source ya information ya JF...moderator inabidi aangalie post zako...maana si za kweli na hazijafanyiwa utafiti wala upembuzi wowote kabla haijapostiwa.....you have misleaded us!!!!!) Acha unafiki na uongo. Say the truth to ashame the devil. Your info pose integrity and reliability diubtness!!!!!! If you are offended you deserved it as we can read between the lines!!!!

Hata kama maneno hayajakaa vizuri ukweli unabaki palepale tu kuwa Tisheti ziligawiwa kanisani. Inaonekana wewe ni swahiba wa Rushwa na ufisadi.
 
Inasemekana kuwa Kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la Monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi IMEKWISHA kanisani Monduli. Hii siyo rushwa? PCCB wanasemaje?

Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA.
Jamaa yeye ni muumini kama mtu mwingine yeyote katoa kama sadaka kwa Mungu wake anayemwamini kwa wahitaji ukizingatia ni majira ya kwaresma sioni kama ni rushwa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Inasemekana kuwa Kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la Monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi IMEKWISHA kanisani Monduli. Hii siyo rushwa? PCCB wanasemaje?

Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA.

Lowasa kafanya vyema.

Hapo zamani tulipokuwa Wadogo tulikuwa tunagawiwa Nguo kutoka kwa Wafadhili (Wachungaji / Mapadre) wa Kizungu tukapokea, vivyo hivyo hizo za Mh. Lowasa alizogawa tumezipokea kama tulivyokuwa tunapokea hapo awali.
 
Inasemekana kuwa Kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la Monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na wasaidizi wake wakigawa tisheti zenye maandishi IMEKWISHA kanisani Monduli. Hii siyo rushwa? PCCB wanasemaje?

Inasemekana kuwa waumini wa makanisa ya katoliki na Lutheran waligombania Tisheti hizo kudhihirisha kuwa WAMEDANGANYIKA.

kwani wamelazimishwa kupokea hizo tshirt mwache agawe hata mafenesi.Mbona yule anayeenda kuzindua album za kwaya na kuchangia hamsemi kama hiyo sio rushwa
 
anatoa sadaka....ni haki yake kama mbunge aliyeko madarakani....sio kila kitu huyu jamaa anachofanya tuwe tu tunamhukumu vibaya....Lowas is not the news anymore ndio maana tunashindwa kufika mbali kwa kujadili watu badala ya hoja...we cant discuss same thing same people for years...........
 
Narekebisha sentensi kama ifuatavyo. Nilisikia kuwa EL aligawa tisheti kwa nyakati tofauti katika makanisa hayo. Mimi sikuwepo kwenye eneo la tukio. Nakubali nimechemsha kutokuiweka sentensi sawa.

Heshima kwako Uvivumwiko,

Hongera saaaaaaaana kwa kukubali kukiri kosa na kukubali kulirekebisha.Tuko pamoja endelea kutuletea habari bila kuweka ushabiki wala chuki.
 
teh teh teh, kaka lazima ujipange kabla ya kuleta thread zako japa JF, hizi ni challenges tu, usiogope ila lazima ufanye utafiti na analysis ya vitu vyako viwe na mantiki kabla ya kuvileta hapa jamvini - kuna wazee humu. usipoangalia utaambiwa mvivu kweli kweli! - kaza buti safari ndefu hii...

nakupa moyo tu mjomba....mwanzo mgumu, nimekupa thanks ya kwanza please note down but do more reasearch before....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom