Lowassa afunika dar

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Imedhihirika leo kwamba mh Edward Lowassa sio tu kwamba anapendwa bali pia ni tegemeo kubwa kwa watanzania wanyonge na wa hali ya chini.
Umati wa watu ambao haujawahi kuonekana pamoja na waendesha bodaboda wapatao elfu zaidi ya elfu ishiriki wamejumuika nae leo wakati alipokaribishwa kuwa mgeni rasmi wa chama chao.
 
Lowasa ni sawa na mmea huu chini:
index.jpeg
 

Attachments

  • DSC_0049_ffb6d.JPG
    DSC_0049_ffb6d.JPG
    34.6 KB · Views: 1,911
Wavuvi wa dagaa webzie walionyesha bango linasema zitto ni kama mandela...mxxxx akili za wavua dagaa hawa


Haikuwahi kutokea hata mara moja Hayati Nelson Mandela iwe kwa dhahiri ama kwa kificho kuendesha usaliti ndani ya chama chake na ikumbukwe Mandela aliikuta ANC. Hadi mauti yanamchukua alibaki loyal kwa Chama na wananchama; hakujiinua nafsi yake kwamba yeye ni maarufu kuliko chama. Kumlinganisha Zitto na Mandela ni kuvuka mipaka ya dhihaka.
 
Haikuwahi kutokea hata mara moja Hayati Nelson Mandela iwe kwa dhahiri ama kwa kificho kuendesha usaliti ndani ya chama chake na ikumbukwe Mandela aliikuta ANC. Hadi mauti yanamchukua alibaki loyal kwa Chama na wananchama; hakujiinua nafsi yake kwamba yeye ni maarufu kuliko chama. Kumlinganisha Zitto na Mandela ni kuvuka mipaka ya dhihaka.

Ndo nashagaa kuna watu wamebeba bango jana eti zitto kama mandela..!!! Ujinga mtupu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nape akae mkao mzuri naona fisadi anakuja kwa kasi! Lowassa ni maarufu kuliko CCM. Ukweli ndio huo

Wungwana....katika nchi ambayo kila mtu hata Mawaziri na W/mkuu aliyepo anailaumu SERIKALI...ni jambo la kushangaza na kustabisha kabisa.

Hata huko Ulaya au America walikopiga HATUA za maendeleo.... UONGOZI, USIMAMIZI SAHIHI au EFFECTIVE MANAGEMENT ndio SILAHA YAO KUU. Waweza kuwa na kuwa na MIPANGO BORA KABISA NA FEDHA ZA KUFANYA YOTE MAZURI...kama HII Serikali ya CCM ilivyo na mipango BORA na fedha....LAKINI KAMA HATUA NIDHAMU YA KAZI NA MATUMIZI YA HIZO FEDHA NI KAZI BUREEEEEEE.

Ni ajabu kumwona Waziri, au Mkurugenzi wa Halmashauri au wa shirika eti analaumu Serikali kwa kushindwa. HIVI SERIKALI NI NANI HASA?????

K
inachohitajika HAPA TZ ni KIONGOZI THABITI mwenye UWEZO wa KUVUNJA MFUMO HUU WA KUJUANA SERIKALINI na kuogopana uliodumu kwa zaidi ya miaka 50.

Hata akija Lowasa/Dr. Slaa/ Migiro /Mwakyembe au hata NANI UNAYEMJUA...bila KUVUNJA MFUMO HAKUNA KITU.

JK ameshindwa...
coz anateua watu kwa kuangalia mtandao/urafiki/undugu/ujirani/uchama n.k Hana uwezo wa kuwakemea kama alivyokuwa anafanya NYERERE na Sokoine.

Nchi inahitaji KIONGOZI JASIRI anayeweza kufanya maamuzi SAHIHI kwa wakati sahihi bila kuangalia mtu/urafiki/uchama n.k

Namkumbuka sana SOKOINE. Alikuwa mwananchi mzalendo sana.

Ni mtazamo wangu tu.
 
Lowasa aka a.k.a mamvi aka zooteee mtamuita ndiye next president mpende msipende
 
Back
Top Bottom