Elections 2015 Lowassa afunika Dakawa, ni akiwa njiani kwenda Dodoma

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,840
ImageUploadedByJamiiForums1453558801.304281.jpg

Leo hii Lowassa njiani akielekea Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya wabunge wa UKAWA, amepata nafasi ya kusimama na kuwasalimu wakazi wa mnada wa Dakawa.

Amewashukuru sana kwa mapokezi na furaha yao juu yake.

Mungu aendelee kumlinda our next president 2020
 
Kwa sasa anawafuata watu sehemu ambayo wamekusanyika kwa ajili ya shughuri zao za kiuchumi!

Vijana wa kudeki barabara maarufu kama nyumbu wameanza pia kumkimbia!

Ama kweli majanga yakianza kukufika, hata ufanye usanii gani huwezi kuyaepuka.

Kuchunga ng'ombe kumemshinda, kwa sasa hata kuwakusanya nyumbu kunaelekea kumshinda!

He's Mrema in the making!
 
Hana LOLOTE La Maana ANALOLIFANYA Na Kawaandaa Hao Watu MAKUSUDI Ili Kulipa KILE Kilichofanywa Na Rais Wa JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI Jana Kule Kwao Arusha Na Monduli Pia.

Ana SIASA Za KISHAMBA, KIJINGA, KIPUMBAVU NA KITOTO SANA! Tegemea Kesho Hiyo PICHA Kutokea Front Page TANZANIA DAIMA, NIPASHE, MWANANCHI / CITIZEN Na MTANZANIA Kwani HALIFICHIKI KUWA WAHARIRI WAKUU WA HIVYO VYOMBO Wako Ktk Payroll Ya Lowassa.

Wakati AKITAFUTA SIFA ZA KIPOPOMA Huko ANAKOPITA MWANAMUME WA SHOKA LEO ALIKUWEPO KWAKE MONDULI ( TMA ) AKIWATUNUKU WAPIGANAJI WETU WALIOTUKUKA. Lowassa Hata UFANYE NINI UWEZO WAKO KWA MAGUFULI NI MDOGO MNO NA SANA SANA TU NINGEKUSHAURI TULIA FANYA YAKO Siasa Zako Hizi ZITAKUTOKEA PUANI Na UTAZIJUTIA.
 
Hana LOLOTE La Maana ANALOLIFANYA Na Kawaandaa Hao Watu MAKUSUDI Ili Kulipa KILE Kilichofanywa Na Rais Wa JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI Jana Kule Kwao Arusha Na Monduli Pia.

Ana SIASA Za KISHAMBA, KIJINGA, KIPUMBAVU NA KITOTO SANA! Tegemea Kesho Hiyo PICHA Kutokea Front Page TANZANIA DAIMA, NIPASHE, MWANANCHI / CITIZEN Na MTANZANIA Kwani HALIFICHIKI KUWA WAHARIRI WAKUU WA HIVYO VYOMBO Wako Ktk Payroll Ya Lowassa.

Wakati AKITAFUTA SIFA ZA KIPOPOMA Huko ANAKOPITA MWANAMUME WA SHOKA LEO ALIKUWEPO KWAKE MONDULI ( TMA ) AKIWATUNUKU WAPIGANAJI WETU WALIOTUKUKA. Lowassa Hata UFANYE NINI UWEZO WAKO KWA MAGUFULI NI MDOGO MNO NA SANA SANA TU NINGEKUSHAURI TULIA FANYA YAKO Siasa Zako Hizi ZITAKUTOKEA PUANI Na UTAZIJUTIA.
Mbona unaonekana dhairi kakushika pabaya?Hahaha Maana hilo povu umetoa hapo mwanaume hata kufika hajafika. Je, akifika Dodoma si utalia wenyeeee
 
Kibo10,

Endelea kuota tu kuwa Lowassa next president wako wewe 2020, wakati hata Chadema wanamlia timing watamfukuza vipi maana anajisahau anajiona yy ndo mwenyekiti wa chama kwa kutoa kauli za maamuzi mazitomazito.
 
ANA CHEO CHOCHOTE CHADEMA HATA UJUMBE WA MTAA. ISITOSHE NI MWANACHAMA WA MIEZI 3 TU ALIYEINGIA CDM KWA KUUTAKA URAIS TU NA SIYO MAPENZI YA DHATI. HATA AKINUNUA VYOMBO VYA HABARI AMESHAKWISHA KISIASA.
 
Naikumbuka sana mwaka Jana baada ya kuzidiwa alianza kupiga vyombo kwenye suruali, Watu waliambulia nzi tu. Huyu mzee kashampola mbowe Chama
 
Back
Top Bottom