Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Wengine wako karibu na kanisa la St. Peters.alot of kujichanganya apa mbona mnarukia yale (majamaa machakachuaji ya kura tunazopiga) mashushushu ya pale makumbusho kwa nyuma (uwt) why not... Umoja wa wanawake tanzania, umoja wa walimu tanzania au usalama wa taifa, ebu weka vizuri tutoe pwenti zetu