Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,039
- 2,199
katika hekaheka za kampeni huko arumeru,lowassa amejukuta akitoa ahadi ya kujengea makaburi ya wachezaji huko sakila.
Kwa wale wakazi wa meru watakumbuka kuwa kuna ajali mbaya ya trekta lenye wachezaji iliwahi kutokea huko maeneo ya sakila.
Ajali hii ilivuta na bado inaendelea kuvuta hisia za wakazi wa meru.
Kwa nguvu zote mheshimiwa EL ameahidi kujengea makaburi hayo iwapo wananchi watamchagua siyoi
Kwa wale wakazi wa meru watakumbuka kuwa kuna ajali mbaya ya trekta lenye wachezaji iliwahi kutokea huko maeneo ya sakila.
Ajali hii ilivuta na bado inaendelea kuvuta hisia za wakazi wa meru.
Kwa nguvu zote mheshimiwa EL ameahidi kujengea makaburi hayo iwapo wananchi watamchagua siyoi