Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, alitoa tahadhari kwa mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, akisema kuwa CHADEMA inamsubiri kwa hamu aingie katika uchaguzi wa Arumeru.
Nataka kumwambia Lowassa kuwa tunamsubiri kwa hamu aingie kwenye hizi kampeni, akikanyanga Arumeru akikanyaga Arumeru akikanyaga Arumeru tunajua kuwa yeye ni Mmeru aliyejibadili na kujiita Mmasai, tunajua madhambi yake mengi tutayafumua yote, tunaomba aje, alisema Lema na kuongeza:
Juzi nimesikia kuwa mgombea wao katika kikao cha ndani aliomba kujitoa katika kampeni hizi wakamkatalia, maji yameshawafika shingoni sasa aende akagombee ubunge huko Uingereza ndiko wanatoboa masikio.
Ndugu zangu haki haiombwi haki inapiganiwa, mwizi ni mwizi tu hata kama angekuwa baba yako, msiwaruhusu kabisa watembee usiku na kuhonga watu au kuiba shahada za kupigia kura.
My take ;Lowasa anamjua Lema alivyo ,kama hamjuwi....fatilia kesi yake ya kupinga matokea ndo utajua picha halisi
SOURCE:
TANZANIA DAIMA 19/03/2012
Nataka kumwambia Lowassa kuwa tunamsubiri kwa hamu aingie kwenye hizi kampeni, akikanyanga Arumeru akikanyaga Arumeru akikanyaga Arumeru tunajua kuwa yeye ni Mmeru aliyejibadili na kujiita Mmasai, tunajua madhambi yake mengi tutayafumua yote, tunaomba aje, alisema Lema na kuongeza:
Juzi nimesikia kuwa mgombea wao katika kikao cha ndani aliomba kujitoa katika kampeni hizi wakamkatalia, maji yameshawafika shingoni sasa aende akagombee ubunge huko Uingereza ndiko wanatoboa masikio.
Ndugu zangu haki haiombwi haki inapiganiwa, mwizi ni mwizi tu hata kama angekuwa baba yako, msiwaruhusu kabisa watembee usiku na kuhonga watu au kuiba shahada za kupigia kura.
My take ;Lowasa anamjua Lema alivyo ,kama hamjuwi....fatilia kesi yake ya kupinga matokea ndo utajua picha halisi
SOURCE:
TANZANIA DAIMA 19/03/2012