MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,171
Lowasa ulikuwa ofisi ya Waziri Mkuu. Ukaongoza kitengo cha maafa kilichoshughulikia mipangilio ya kuokoa maisha ya wenzetu waliokumbwa na mafuriko huko Tanga. Nchi mbali mbali zilitoa misaada kupitia ofisi zao za ubalozi. Ilikuwa mwaka 1993/94 .
Taarifa zilizagaa kwamba misaada hiyo iliishia kwenye mifuko yako Lowasa. Yasemekana hilo lilikuwa tatizo kubwa lililokuondoa kwenye mchakato wa Urais mwaka 1995.
Tafadhari, Ndg. Lowasa jitokeze hadharani ulisemee jambo hili. Au tueleze nini sababu ya kuondolewa ktk mchakato wa U-rais mwaka 1995. Jisafishe badala ya kuhangaika na michango ya makanisa.
Kama hili siyo kweli basi siyo vibaya pia kwa mashabiki wake kutueleza ni kwa nini bosi wake, Nyerere, akimkataa kata kata kwamba hafai.
Taarifa zilizagaa kwamba misaada hiyo iliishia kwenye mifuko yako Lowasa. Yasemekana hilo lilikuwa tatizo kubwa lililokuondoa kwenye mchakato wa Urais mwaka 1995.
Tafadhari, Ndg. Lowasa jitokeze hadharani ulisemee jambo hili. Au tueleze nini sababu ya kuondolewa ktk mchakato wa U-rais mwaka 1995. Jisafishe badala ya kuhangaika na michango ya makanisa.
Kama hili siyo kweli basi siyo vibaya pia kwa mashabiki wake kutueleza ni kwa nini bosi wake, Nyerere, akimkataa kata kata kwamba hafai.