Sasa naona ameamua kununua air time chanel ten ili kujitangaza kitaifa kama bado yupo,ni aibu kwa kituo cha habari kirudia habari moja kwa siku mbili mfululizo,na kikubwa ya tukio linalofanana,na kumpa muda mwingi mtu mmoja,badilikeni chanel ten na zingatieni maadili ya kazi yenu ya utangazaji