Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[h=6]Walisema hataongea, ooh mara akija azomewe! hatimaye mwanasiasa maharufu pengine kuliko wote kwasasa nchini mheshimiwa EDWARD LOWASA leo amehutubia maelfu ya wapiga kura huko ARUMERU! kwa mujibu wa mashuhuda wetu umati wa watu uliojitokeza haujawahi kutokea katika historia ya eneo hilo! pamoja na CDM kumchafua sana LOWASA leo ameshangiliwa sana na wananchi kuwa watulivu kumsikiliza na kupiga makofi ya pongezi pale alipogusia hoja za msingi na alimnadi mgombea wa CCM mh SIOI SUMARI, kuwaambia wananchi wampe kura SIOI na yeye atakuwa ataongozana nae hadi kwa waziri wa ARDHI kumaliza matatizo ya ardhi Arumeru! KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI! HONGERA MH LOWASA KWA KUWAONYESHA KUWA UKO FIT KUPAMBANA[/h]
Jinsi ambavyo simpendi huyu fisadi wangemponda na mawe ccm walishatuibia sana alafu kila siku wanakuja gia zao za kuturubuni yani inauma sanahii siyo tetesi ni kazomewa maeno ya kikatiti na patandi
wamemzomea raisi ajaye? shauri yao.
wamemzomea raisi ajaye? shauri yao.
Jinsi ambavyo simpendi huyu fisadi wangemponda na mawe ccm walishatuibia sana alafu kila siku wanakuja gia zao za kuturubuni yani inauma sana
Labda rais ajaye wa waizi.
Lowassa will never become the head of my beloved country
hii siyo tetesi ni kazomewa maeno ya kikatiti na patandi
Lowasa amemnadi SIOI kwa kusema atamaliza matatizo ya maji na ardhi.
Mkapa amewaponda wapinzani kuwa hawana lolote na hawataleta maendeleo
yoyote Arumeru.
SOURCE: ITV habari
My take: ushindi kwa CCM uko wazi aiseeeeee!
jaman kwa aliyekuwepo kwenye kampeni za leo ambako lowasa alikuwa ana mwaga sera atujuze kuhusu huyu mzee kuzomewa na wana arumeru, hata kama kuna picha mtuwekeeni hapa tuone ambao tuko mbali na arusha uko
Nape kasemaje?
View attachment 50563
lowassa akizomewa mitaa yoteee ya arumeru alipopita
Mtakimbiajeee Siyoi atakapoibuka mshindiii mtasonyajeeeeee!!