Watanzania wangapi wamekuwa "punk na ccm" Kweli watanzania tumekuwa watu wa namna gani? Huyu Lowasa kaibia Taifa lake na ilijulikana wazi Richmond ilikuwa ya kwake. Kutokana na sheria za Kikwete na ccm hawa wezi ndio wanashika nafasi za kamati nyeti za serikali ya Taifa letu (mambo ya nje, ulinzi na usalama). Hii si dharau na aibu...kesi ya Lowasa na mafisadi waliohusika na wizi wa Richmond iko wapi? Ripoti ya Richmond ipo wapi? Hao hao waliohusika na Richmond leo wanataka walipwe tena kupitia Dowans. Huu ni ujinga wa hali gani? Kuna dharau kubwa kwa Taifa kama hili tukiacha mtu mmoja-JK na wenzake - Rostam kuumiza Taifa kwa hizi mbinu. Huyo Rostam kuhusishwa kote na ulipwaji wa Dowans -anapewa kuongoza kamati bungeni. "Tunaita hii serikali au vichakani, tangu lini ukampa simba akualindie nyama?"
GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Sitta 'kuwajibika' kwa Edward Lowassa
Hakuna Mtanzania Msahaulifu kwamba Lowasa Alijiudhuru Baada ya Kukamatwa na Documents za Wizi wa Richmond. Kama serikali ya ccm haitawachukulia Atua Yeyote ile Wananchi Tutashughulikia Kikamilifu Kama Egypt
GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Sitta 'kuwajibika' kwa Edward Lowassa
Last edited by a moderator: