Rose Mayemba
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 721
- 1,017
nawakumbusa Napoleon aliposema:dunia inateseka si kwa sababu ya maovu ya watu wabaya bali ni kwa sababu ya ukimya wa watu wema.nimesema hayo kuwakumbusha jinsi lowasa alivyoikang richmond na kusema ile ni ya swaiba mwenyewe. je hapo nani tumnyonge? panya ni panya tu kama alivyosema mch msigwa,hawezi kuona mwenzie anashiba yeye anaangalia huo ni uongo.