Lowasa apanga maandamano

Senator p

JF-Expert Member
Oct 27, 2011
282
43
Wakat Chama cha chukua chako mapema kilipokutana mjini dodoma ili kupitia maazimio likiwemo swala la kuvua magamba,ambapo kulikua na uwezekano wa Lowasa kutoswa.Imeshndikana kwa kile kilichojificha,ambacho hakikusemwa adharan.Lowasa alikua ameanda wa2 toka mikoani ili kupinga yy kufukuzwa.taarifa zinadai kama chama kingemtimua wa2 wangeandamana kupinga ukumu mkoan dodoma na dar.Wakat wafuas wa chama cha chadema wangeandama kupinga serikal kuwapa kibal cha maandano wafuas wa lowasa.
 
Wakat Chama cha chukua chako mapema kilipokutana mjini dodoma ili kupitia maazimio likiwemo swala la kuvua magamba,ambapo kulikua na uwezekano wa Lowasa kutoswa.Imeshndikana kwa kile kilichojificha,ambacho hakikusemwa adharan.Lowasa alikua ameanda wa2 toka mikoani ili kupinga yy kufukuzwa.taarifa zinadai kama chama kingemtimua wa2 wangeandamana kupinga ukumu mkoan dodoma na dar.Wakat wafuas wa chama cha chadema wangeandama kupinga serikal kuwapa kibal cha maandano wafuas wa lowasa.
Nadhani watu tunajua ya kuwa ni ushabiki na chuki binafsi za akina Sita, Ninauye, Membe, Kikwete, Nyalandu na wengine wengi ambao wamezijenga kwa Lowassa. Na pia tukubali ya kuwa uwezo wa Lowassa kikazi unawapa taabu hawa jamaa. Yupi kati ya hawa ni msafi? Membe ambaye amechukua pesa kutoka kwa Quaddafi ili kujikuza kisiasa hapa Tanzania, Sitta ambaye anasafarisha magogo nje ya Tanzania, Kikwete ambaye anachakachua nchi kupitia kijana wake Ridhwani? Nyalandu ambaye amejenga jumba kwenye kiwanja kichotengwa kwa ajili ya ujenzi wa dispensari? Yupi anaweza kumtupia mawe akisema mikono yake ni ya haki? Nadhani baadhi ya watanzania tumekuwa wanafiki sana, chuki hii kwa Lowassa imeanza kufifia na hakuna mwaka mmoja zaidi wimbo huu wa kumchafua Lowassa utakuwa unakubalika tena na watanzania. Yaliyopagwa na mungu binadamu hawezi kutegua, kama Mungu anataka Lowasa kuwa rais wa nchi hii atakuwa, wala siyo hao wenye kuvaa ngozi ya kondoo wakipita wakisema huyu hafai, huyu hivi, yule vile, kama ni fisadi toeni ushahidi. Msije mkakuta mnatoa hukumu pasipo haki....Msihukumu msije mkahukumiwa kwa kukosa kiongozi thabiti...Msidanganyike na hawa wenye hila binafsi akina Sitta, Membe na kundi lake?
 
Wakat Chama cha chukua chako mapema kilipokutana mjini dodoma ili kupitia maazimio likiwemo swala la kuvua magamba,ambapo kulikua na uwezekano wa Lowasa kutoswa.Imeshndikana kwa kile kilichojificha,ambacho hakikusemwa adharan.Lowasa alikua ameanda wa2 toka mikoani ili kupinga yy kufukuzwa.taarifa zinadai kama chama kingemtimua wa2 wangeandamana kupinga ukumu mkoan dodoma na dar.Wakat wafuas wa chama cha chadema wangeandama kupinga serikal kuwapa kibal cha maandano wafuas wa lowasa.
Uafikiri kwa Kutumia Masaburi!Tumiaga na Ubongo
 
Nadhani watu tunajua ya kuwa ni ushabiki na chuki binafsi za akina Sita, Ninauye, Membe, Kikwete, Nyalandu na wengine wengi ambao wamezijenga kwa Lowassa. Na pia tukubali ya kuwa uwezo wa Lowassa kikazi unawapa taabu hawa jamaa. Yupi kati ya hawa ni msafi? Membe ambaye amechukua pesa kutoka kwa Quaddafi ili kujikuza kisiasa hapa Tanzania, Sitta ambaye anasafarisha magogo nje ya Tanzania, Kikwete ambaye anachakachua nchi kupitia kijana wake Ridhwani? Nyalandu ambaye amejenga jumba kwenye kiwanja kichotengwa kwa ajili ya ujenzi wa dispensari? Yupi anaweza kumtupia mawe akisema mikono yake ni ya haki? Nadhani baadhi ya watanzania tumekuwa wanafiki sana, chuki hii kwa Lowassa imeanza kufifia na hakuna mwaka mmoja zaidi wimbo huu wa kumchafua Lowassa utakuwa unakubalika tena na watanzania. Yaliyopagwa na mungu binadamu hawezi kutegua, kama Mungu anataka Lowasa kuwa rais wa nchi hii atakuwa, wala siyo hao wenye kuvaa ngozi ya kondoo wakipita wakisema huyu hafai, huyu hivi, yule vile, kama ni fisadi toeni ushahidi. Msije mkakuta mnatoa hukumu pasipo haki....Msihukumu msije mkahukumiwa kwa kukosa kiongozi thabiti...Msidanganyike na hawa wenye hila binafsi akina Sitta, Membe na kundi lake?

mhh, kazi kweli kweli mpaka kufika 2015 kuna mengi yatakuwa wazi!!
 
Wakat Chama cha chukua chako mapema kilipokutana mjini dodoma ili kupitia maazimio likiwemo swala la kuvua magamba,ambapo kulikua na uwezekano wa Lowasa kutoswa.Imeshndikana kwa kile kilichojificha,ambacho hakikusemwa adharan.Lowasa alikua ameanda wa2 toka mikoani ili kupinga yy kufukuzwa.taarifa zinadai kama chama kingemtimua wa2 wangeandamana kupinga ukumu mkoan dodoma na dar.Wakat wafuas wa chama cha chadema wangeandama kupinga serikal kuwapa kibal cha maandano wafuas wa lowasa.

So what?
 
Nadhani watu tunajua ya kuwa ni ushabiki na chuki binafsi za akina Sita, Ninauye, Membe, Kikwete, Nyalandu na wengine wengi ambao wamezijenga kwa Lowassa. Na pia tukubali ya kuwa uwezo wa Lowassa kikazi unawapa taabu hawa jamaa. Yupi kati ya hawa ni msafi? Membe ambaye amechukua pesa kutoka kwa Quaddafi ili kujikuza kisiasa hapa Tanzania, Sitta ambaye anasafarisha magogo nje ya Tanzania, Kikwete ambaye anachakachua nchi kupitia kijana wake Ridhwani? Nyalandu ambaye amejenga jumba kwenye kiwanja kichotengwa kwa ajili ya ujenzi wa dispensari? Yupi anaweza kumtupia mawe akisema mikono yake ni ya haki? Nadhani baadhi ya watanzania tumekuwa wanafiki sana, chuki hii kwa Lowassa imeanza kufifia na hakuna mwaka mmoja zaidi wimbo huu wa kumchafua Lowassa utakuwa unakubalika tena na watanzania. Yaliyopagwa na mungu binadamu hawezi kutegua, kama Mungu anataka Lowasa kuwa rais wa nchi hii atakuwa, wala siyo hao wenye kuvaa ngozi ya kondoo wakipita wakisema huyu hafai, huyu hivi, yule vile, kama ni fisadi toeni ushahidi. Msije mkakuta mnatoa hukumu pasipo haki....Msihukumu msije mkahukumiwa kwa kukosa kiongozi thabiti...Msidanganyike na hawa wenye hila binafsi akina Sitta, Membe na kundi lake?


Hongera sana kwa kuwa muwazi kiasi hicho kwa kujitambulisha kuwa wewe ni lowassa suppoter!!
 
Nadhani watu tunajua ya kuwa ni ushabiki na chuki binafsi za akina Sita, Ninauye, Membe, Kikwete, Nyalandu na wengine wengi ambao wamezijenga kwa Lowassa. Na pia tukubali ya kuwa uwezo wa Lowassa kikazi unawapa taabu hawa jamaa. Yupi kati ya hawa ni msafi? Membe ambaye amechukua pesa kutoka kwa Quaddafi ili kujikuza kisiasa hapa Tanzania, Sitta ambaye anasafarisha magogo nje ya Tanzania, Kikwete ambaye anachakachua nchi kupitia kijana wake Ridhwani? Nyalandu ambaye amejenga jumba kwenye kiwanja kichotengwa kwa ajili ya ujenzi wa dispensari? Yupi anaweza kumtupia mawe akisema mikono yake ni ya haki? Nadhani baadhi ya watanzania tumekuwa wanafiki sana, chuki hii kwa Lowassa imeanza kufifia na hakuna mwaka mmoja zaidi wimbo huu wa kumchafua Lowassa utakuwa unakubalika tena na watanzania. Yaliyopagwa na mungu binadamu hawezi kutegua, kama Mungu anataka Lowasa kuwa rais wa nchi hii atakuwa, wala siyo hao wenye kuvaa ngozi ya kondoo wakipita wakisema huyu hafai, huyu hivi, yule vile, kama ni fisadi toeni ushahidi. Msije mkakuta mnatoa hukumu pasipo haki....Msihukumu msije mkahukumiwa kwa kukosa kiongozi thabiti...Msidanganyike na hawa wenye hila binafsi akina Sitta, Membe na kundi lake?

Inaonekana wewe ni EL mwenyewe na umeamua kuja mwenyewe ili ku bit your own drum. Endelea kumsupport tu ila mwamuzi ni sanduku la kura kunako 2015
 
Nadhani watu tunajua ya kuwa ni ushabiki na chuki binafsi za akina Sita, Ninauye, Membe, Kikwete, Nyalandu na wengine wengi ambao wamezijenga kwa Lowassa. Na pia tukubali ya kuwa uwezo wa Lowassa kikazi unawapa taabu hawa jamaa. Yupi kati ya hawa ni msafi? Membe ambaye amechukua pesa kutoka kwa Quaddafi ili kujikuza kisiasa hapa Tanzania, Sitta ambaye anasafarisha magogo nje ya Tanzania, Kikwete ambaye anachakachua nchi kupitia kijana wake Ridhwani? Nyalandu ambaye amejenga jumba kwenye kiwanja kichotengwa kwa ajili ya ujenzi wa dispensari? Yupi anaweza kumtupia mawe akisema mikono yake ni ya haki? Nadhani baadhi ya watanzania tumekuwa wanafiki sana, chuki hii kwa Lowassa imeanza kufifia na hakuna mwaka mmoja zaidi wimbo huu wa kumchafua Lowassa utakuwa unakubalika tena na watanzania. Yaliyopagwa na mungu binadamu hawezi kutegua, kama Mungu anataka Lowasa kuwa rais wa nchi hii atakuwa, wala siyo hao wenye kuvaa ngozi ya kondoo wakipita wakisema huyu hafai, huyu hivi, yule vile, kama ni fisadi toeni ushahidi. Msije mkakuta mnatoa hukumu pasipo haki....Msihukumu msije mkahukumiwa kwa kukosa kiongozi thabiti...Msidanganyike na hawa wenye hila binafsi akina Sitta, Membe na kundi lake?
Lowasasupporter, kwanza asante kwa hili.
Humu jujwaani ni wachache sana wenye objectivity, impartility na truthfullness za ukweli ndani ya nafsi zao!. Wengi ni mashabiki maandazi wa kufuata mkumbo, majungu na chuki binafsi dhidi ya EL.

Mungu aliye juu, atamtumia EL kuwapatia ushuhuda kuwa yeye ni Njia, Kweli na Uzima kwa kuwathibitishia Watanzania, "Jiwe Walilolikataa Waashi, litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!.

"Lowassa ni Mwamba, na Juu ya Mwamba huo, Mungu atalijenga taifa lake la Tanzania"!.

Mimi sio mshabiki wa chama chochote!. Nasimama kwenye kweli, japo Lowassa sio malaika, na asiye na dhambi CCM, awe wa kwanza kumtupia jiwe!.

Najua wako mtakao sema nimelipwa!. Mimi nasimama kwenye kweli tuu na Hii itabaki kwenye hansard za jf siku ukweli utakaposimama!.
 
Back
Top Bottom