Wakat Chama cha chukua chako mapema kilipokutana mjini dodoma ili kupitia maazimio likiwemo swala la kuvua magamba,ambapo kulikua na uwezekano wa Lowasa kutoswa.Imeshndikana kwa kile kilichojificha,ambacho hakikusemwa adharan.Lowasa alikua ameanda wa2 toka mikoani ili kupinga yy kufukuzwa.taarifa zinadai kama chama kingemtimua wa2 wangeandamana kupinga ukumu mkoan dodoma na dar.Wakat wafuas wa chama cha chadema wangeandama kupinga serikal kuwapa kibal cha maandano wafuas wa lowasa.