Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
- Thread starter
- #61
KKN...
1. Nikuulize upo ktk DINi Gani? nakuuliza hivi kwasababu wengi wanaokwenda NJE ya NDOA HAWANA KHOFU ya ADHABU BAADA YA KIFO.
2. UISLAM kama mfumo kamili wa Maisha ya Mwanadamu umetoa RUHUSA iliyofungamana na UADILIFU ya kuoa mke zaid ya MMOJA. Mzungu au mwanadam anapotengeneza mashine huwa anatengeneza na USER GUIDE/MANUALs, ukienda kinyume na manuals ni kukiharibu chombo.
M/Mungu muumba wa M/damu ndie ajue Functions za Viungo vya mwanadamu. Ungekuwa Muislam ungeruhusiwa kuoa mke mwingine. Pia Ukifanya KOSA la KUTOKE NJE ya NDOA wakati umeoa ni KOSA la JINAI linalohitaji Upigwe mawe hadi UFE.
3. Wengi wetu Hatujui Lengo la NDOA. Wale wanaofikiri SEX its wrong. Marriage is a responsibilities. hapa unajenga Familia...unapokwenda Nje ya NDOA watoto watakaopatikana HUKO watakosa HAKI nyingi, moja URITHI, pili NASABA pia watoto wanaozaliwe NJE ya NDOA wanakuwa WANYONGE.
4. Kwa Utaratibu wako wa Kwenda NJE ya NDOA..unaonaje mtu akatambea na MAMA YAKO... UKIZINI NA DADA NA MAMA ZA WATU UJUE WATU NAO WATAZINI NA MKEO< MAMA YAKO< NA DADA ZAKO? JE utajisikiaje?
Kingene punguza kula au Funga mchana hii iko proved hupunguza matamanio yako....
Sorry Chuma, I dont do religions, hizi dini zinakataza vitu vyote 'vitamu' hapa duniani. Nitaishije bila kupiga mtungi? eti hata nisiende kujirusha kiwanja? Kwa ndugu zangu waislamu, kutokula kiti moto, you dont know what you are missing out. Im enjoying my life, im sure kama ningekua sifanyi haya nifanyayo sasa I would be so sad, my life would be so sh.t and miserable, cammon guys- you only live once- why shouldnt I do it at its fullest?