Principessa
Member
- Mar 5, 2009
- 47
- 5
mume wangu huwa anawasiliana meseji za mapenzi na wasichana...halafu la kushangaza ni wa aina tofauti tofauti,nikimwuliza anasema sio wapenzi wake.tena ananiambia niachane na simu yake...nifanyeje jamani?
Nawe tafta namba nyingne hata zikiwa 2, uwe unajitumia love sms kwenye cmu yako then subiri one day azibaini ili uone reaction yake ndipo upate pa kusemea.
Pata hizo namba kwa intelijensia, then jaribu kuwasiliana nao hao wadada/watu, reaction yao itakupa majibu halisi, then utajua la kufanya!mume wangu huwa anawasiliana meseji za mapenzi na wasichana...halafu la kushangaza ni wa aina tofauti tofauti,nikimwuliza anasema sio wapenzi wake.tena ananiambia niachane na simu yake...nifanyeje jamani?
Pata hizo namba kwa intelijensia, then jaribu kuwasiliana nao hao wadada/watu, reaction yao itakupa majibu halisi, then utajua la kufanya!
Tabia hiyo ipo na wanaume wengi sana, lakini inapofikia mkeo anaziona meseji hizo hiyo ni extreme, na mara nyingine inaleta matokeo yasiyotarajiwa!
Upole wako ndiyo hasara yako!tatizo mi sio mtu wa ugomvi sana,halafu niwaambieje nikishawapigia?naogopa wakimwambia mume wangu nimepiga simu.kuna mmoja nilimpigia alipopokea nikaishia tu kumwambia wrong number nikakata simu.
dada izi viumbe pasua kichwa,mwambie jinsi unavyokereka,kama kwelia anakupenda jatokua tayari kukukwaza!!!mhh nilishamwambia ikiwa ni mimi atafanyaje akasema ataniua...
Hutaki ugomvi eeeh? Huo ni upuuuzi,na jiandae kulivaa gonjwa.tatizo mi sio mtu wa ugomvi sana,halafu niwaambieje nikishawapigia?naogopa wakimwambia mume wangu nimepiga simu.kuna mmoja nilimpigia alipopokea nikaishia tu kumwambia wrong number nikakata simu.
tatizo mi sio mtu wa ugomvi sana,halafu niwaambieje nikishawapigia?naogopa wakimwambia mume wangu nimepiga simu.kuna mmoja nilimpigia alipopokea nikaishia tu kumwambia wrong number nikakata simu.
mna mda gani kwenye ndoa?ukute mshachokana tayari
mmh.. No comment. Ngoja tusubiri michango ya wengine. Pole mwaya
we unajuaje kama akikuaga anaenda chuo anaenda kweli?kwahyo unahis uhusiano wao ni wa sms tu eh?unajipa moyo mwenyewe