Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Wakuu kila mmoja wetu hapa amewahi kupenda au kupendwa kama hajapendwa au kupendwa basi yuko kwenye mapenzi tayari lasivyo soon au later atakuwa na mpenzi kama si hivyo anafikiria ipo siku atakuja kupenda au kupendwa au la atakuwa kwenye mapenzi, Swali jiulize wewe mwenye mpenzi,unayetegemea kupenda au kupendwa, Kupenda ni RISK tena kubwa na ngumu kuepukika....nani anapinga au kuniunga hoja yangu, jiulize kwanza jinsi ulivyompata huyo mpenzi wako na definition ya RISK then argue with me...