Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Pengine ni utamaduni au nature, lakini ni mara chache sana mwanamke anaweza kumtamkia mwanaume 'nakupenda, naomba tu wapenzi' hasa kama hawajazoeana sana. Pia mwanamke anapokuwa na hamu ya mchezo na mwanaume (ambaye sio mpenzi/mke wake), inakuwa ngumu ku-express herself directly.
Badala yake wanafanya ishara fulani zinazopelekea mwanaume ajue anapewa ujumbe fulani. Sometimes unakuta mwanaume hajui hizo ishara.
Hivi wanaume ni ishara gani mnajua kuwa ukiziona mwanamke anakufanyia basi ujue anakutaka?
Mi nianze tu na moja ya mwanamke kuja karibu yako, huku akichezea kitu mdomoni kwa mfano kalamu vile, na kuinyonya, na kusababisha zitoke sauti fulani za kufyonza huku akikuangalia machoni...
Badala yake wanafanya ishara fulani zinazopelekea mwanaume ajue anapewa ujumbe fulani. Sometimes unakuta mwanaume hajui hizo ishara.
Hivi wanaume ni ishara gani mnajua kuwa ukiziona mwanamke anakufanyia basi ujue anakutaka?
Mi nianze tu na moja ya mwanamke kuja karibu yako, huku akichezea kitu mdomoni kwa mfano kalamu vile, na kuinyonya, na kusababisha zitoke sauti fulani za kufyonza huku akikuangalia machoni...