Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Wakati fulani hizi extended family zinazotukabili waafrika zinatufanya mambo mengine tusiwaambie wandani wetu, hebu fikiria ndugu yako ana shida ya hela ukamsaidia, mke nae atajitahidi kuweka mazingira ya shida kwao ili nako upeleke hela, yaani ni shida kweli. Lakini lazima tujitahidi kwa % kubwa kutofichana mambo yetu kwani inaongeza upendo.