LOVE and TRUTH...................................

Wakati fulani hizi extended family zinazotukabili waafrika zinatufanya mambo mengine tusiwaambie wandani wetu, hebu fikiria ndugu yako ana shida ya hela ukamsaidia, mke nae atajitahidi kuweka mazingira ya shida kwao ili nako upeleke hela, yaani ni shida kweli. Lakini lazima tujitahidi kwa % kubwa kutofichana mambo yetu kwani inaongeza upendo.
 
better lies that can make u smilena half truth zinazoepusha migogoro kulikoukweli utakaokufanya unichukie........
 
Dears I hope all of us are ready to party for the coming sikukuus. Tunamwomba MUNGU atujalie tufike salama maana duh......ni rehema zake tu tutazisherehekea.

Kuna kitu kimekuwa kikinitatiza siku nyingi ambacho nimekuwa sikielewi...... the relationship between LOVE and HONESTY. Nilikuwa naamini kuwa unapompenda mwenzi wako si lazima kuwa utakuwa honesty kwake kwa kila kitu. Kuna vitu ambavyo utajikuta unalazimika kuvificha au kusema ndivyo sivyo ili tu kulilinda penzi lenu- especially vile ambavyo ulivifanya zamani kabla hamjakutana.

Lakini kwa wengi nimejikuta hawaamini katika hilo so naomba wanajamvi mnisaidie.

Natanguliza shukrani zangu

Babu aint comment nothing.... coz dis is for grandies to discuss.

Babu he happy if told the truth.....Babu aint tell no lie....Babu is honesty. Babu love 'em honesty women who love babu. Tell babu da truth, be honesty to him babu and babu will love da whole of yaa. Do you understand woram talkin 'bout?
 
Babu aint comment nothing.... coz dis is for grandies to discuss.

Babu he happy if told the truth.....Babu aint tell no lie....Babu is honesty. Babu love 'em honesty women who love babu. Tell babu da truth, be honesty to him babu and babu will love da whole of yaa. Do you understand woram talkin 'bout?

Hata mi nimeelewa pia....
Lakini...if Babu tells the truth--then whr does Babu's favourite game (infidelity) fits in?? :confused2:
 
i think one has to accept everything akikubali kuingia in a relationship about your partner's acts za pasts,.what matters is what is happening today and what will happen in the future..say what is true,(for those that you know akija kujua itakua a big deal)..keep what is minute,.lakini kama mko serious co unatok tu.
.for those who believe in Love,.its better hearing the truth that hurts from the one you love than hearing it from others.
Well I think you are right tracy ......but can I say that it also depend na anayeambiwa ukweli huo ? Kama ni mwelewa it will be well and good but if s/he is not mydia...........you will be in for it.......... utajaanza tu kusikia ... especially during those times when you guys are down........ maugomvi ya kila mara ... utashangaa tu unaambiwa ndio maana ulifanya hivi au ulikuwa hivi... au well sikushangai kama mama au babako alishawahi kufanya a or b itakuwa wewe!!
 
Oh God

Liar Liar... never knew
Not what you are thinking kaka Acid.....I will give you an example

I had a friend whose mother used to date marios and friends' husbands sasa that was hurting sana my friend but well she was her mother. Akajampata mpenzi and wakafanikiwa kufunga ndoa, si unajua tena pillow talks and the alike, binti si akamsimulia mwenzi wake dukuduku lake la siku nyingi (by that time mama alikuwa tayari ameshafariki kitambo). After a while as you know maisha ya ndoa kuna ups and downs...... baba akajapata nyumba ndogo akakamatika hasa. Mdada akiuliza anaambiwa usinisumbue kama vipi fanya kama mamako alivyokuwa akifanya... after all it runs in your family..........

This is what I mean by not telling.......
 
Hata mi nimeelewa pia....
Lakini...if Babu tells the truth--then whr does Babu's favourite game (infidelity) fits it?? :confused2:

Babu hajawahi kuficha kama yeye ni infideleta...si kweli? You be happy with him babu...ok? Now, welcome aboard darling.
 
Wakati fulani hizi extended family zinazotukabili waafrika zinatufanya mambo mengine tusiwaambie wandani wetu, hebu fikiria ndugu yako ana shida ya hela ukamsaidia, mke nae atajitahidi kuweka mazingira ya shida kwao ili nako upeleke hela, yaani ni shida kweli. Lakini lazima tujitahidi kwa % kubwa kutofichana mambo yetu kwani inaongeza upendo.
Nadhani Chapa Kazi hapa umenipata sawa sawa...............si lazima liwe jambo la mapenzi tu but kuna mabo mengine ya familia ambayo pale mnapooana unajisikia kuwa mu wamoja and unatamani sana kumshirikisha but inaweza isiwe sahihi
 
Babu hajawahi kuficha kama yeye ni infideleta...si kweli? You be happy with him babu...ok? Now, welcome aboard darling.

Soo if Bibi nae comes forward that yeye ni infidelitee its ok...?
Si she said the truth...?
 
Babu is not hiding .........its just simply not telling................. kuwa baby... I dont wanna talk about this.... not telling kwa sababu unajua kabisa telling him/her will hurt her or will put you in a situation where you might loose the love of your loved one. There was this time I had a mobile phone and after being with him nikagundua kuwa is a person ambaye hapendi na hayuko secured mimi kuwa na friends wa kiume (just friends) so nikadecide to funga that number na kuwa na nyingine kwa sababu my phone used to be his whenever we meet... so to save him the troublel I decided to descade it........nikakosea na kumwambia I just lost it ..then I bought other handset and asked him to find a number for me.. but after a while nikaona nashtakiwa then I decided to tell him kuwa I didnt lost it but I descarded it.....oh my................ it was like digging my own grave................. tulipogombana akawa anaitumia kama SI unit kwenye kila kikao.

Sasa you go to a situation whereby the person is not honesty you go to the extent ya kugunda who is he/she and after finding out he/she is not honesty to you tena at that time anakuwa amekubishia sana kwamba he/she is honesty baada ya kugundua ukweli anakwambia he/she was not telling you the truth just because he/she wanted to save your relationship from being torn apart na ninakuwa najiuliza why don't you admit and say sorry instead unakataa kwa muda mrefu halafu baadae unakubali kwa kigezo cha kusema kwamba eti you were protecting our relationship which is really ridiculous
 
MJ1,.hamna mtu ambae yuko perfect,.if you do not have a past that is rather not pleasing,hujui what will happen 2day or in the furure,.
my past has nothing to do with my present or future,kama ndo hivo then ther wouldnt be something called forgiveness..
In a relationship,kujishusha na kujua u aint perfect is important,.that includes knowing that what your partner did in the past is human,what matters is how he or she is now!.ukweli only when its crucial.

It also depends maana kuna watu wengine huwa hawabadiliki they tend to act so that to please in certain period of time baadae wanarudi kwenye tabia yao kama kawaida
 
Soo if Bibi nae comes forward that yeye ni infidelitee its ok...?
Si she said the truth...?
Baby cmon! Kwani linakuwa tangazo? Kuna matukio kadhaa ambayo ntajua tu bibie tayari kashaanza kuwa infidelee. Hata mi sijamwambia, lakini for sure anajua kabisa hili jamaa si bure. Unapoambiwa "Please honey, hao wanawake zako, tafadhali play it safe" of which ni kweli unafanya hivyo unaonaje hapo?

Bibi knows japo kwa kuhisi kuwa babu ni infii. Na babu kwa heshima, hawezi kujidhihirisha kiviiiile ili amuumize. Infidelity is there to stay, cha msingi ni kutokuumizana na wala si kuambiana eti mimi ni infii.
 
Sasa you go to a situation whereby the person is not honesty you go to the extent ya kugunda who is he/she and after finding out he/she is not honesty to you tena at that time anakuwa amekubishia sana kwamba he/she is honesty baada ya kugundua ukweli anakwambia he/she was not telling you the truth just because he/she wanted to save your relationship from being torn apart na ninakuwa najiuliza why don't you admit and say sorry instead unakataa kwa muda mrefu halafu baadae unakubali kwa kigezo cha kusema kwamba eti you were protecting our relationship which is really ridiculous
Babu nakuelewa but kumbuka kuwa the thread is about yaliyopita!! Let me ask you a question.......kama hakuwa safi huko nyuma but after having you ameamua kuwa safi and honesty (by telling the truth juu ya chochote kinachotokea SASA wakati uko naye) Je siku ukijagundua yale ya kale will you judge him/her for that??
 
It also depends maana kuna watu wengine huwa hawabadiliki they tend to act so that to please in certain period of time baadae wanarudi kwenye tabia yao kama kawaida
Now you see? telling it all inawezamweka mpenzio kwenye wakati mgumu hasa akiwa na mawazo kama yako Babu yangu.....kuwa unawezarudia uliyofanya zamani.
 
Babu nakuelewa but kumbuka kuwa the thread is about yaliyopita!! Let me ask you a question.......kama hakuwa safi huko nyuma but after having you ameamua kuwa safi and honesty (by telling the truth juu ya chochote kinachotokea SASA wakati uko naye) Je siku ukijagundua yale ya kale will you judge him/her for that??

Depends na kilichofichwa.......kama unachoficha kina madhara kwa mahusiano ya sasa, hupaswi kufanya hivyo......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom