Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 2,659
- 3,038
Ujamaa ulitungwa na mwafrica lakini haukufuata mila na desturi zetu. Tanzania ina zaidi ya makabila 120, how could he put the traditions of these tribes together? And you notion that "It was about the African way" is a myth. Don't perpetuate it.
Ali-act kama Santa Claus alipowapa watu viwanda. Kiwanda chenye thamani ya mamilioni, kinapewa meneja ambaye maishani mwake hajawahi kuongoza mradi wa kuzalisha angalau magunia mawili ya magimbi au muhogo.
Na kuhusu farmers/peasants tupo kwenye sahani moja. Nadhani makosa mengine makubwa yalikuwa ni mfumo wa tax ambao hakujali bei katika soko la dunia. Sababu kubwa iliyoleta maendeleo Kilimanjaro, Kagera na Mbeya ilikuwa ni kilimo cha kahawa. Mapato ya mazao hayo ilifanya watu kufanya diversification ya kusomesha watoto, kufungua maduka na other ventures.
Kwa watu wa Iringa, Mbeya, Morogoro, Tanga, Pwani na mikoa mingine iliyokuwa na large scale farming walitegemea mashamba makubwa kama engine za maendeleo yao.
In my own opinion, nyerere was the best President in Africa (though that you may mention any other one you admire); at least he made his footprints, by designing a route a Nation should follow. Ni kiongozi pekee, among Africans, aliweza kuweka bluprint; kwa muelekeo wa Taifa lake. He made it clear that; the writing of Arusha Declaration was not complete and can be amended as generations passed. Wengine hutafsiri kuwa Ujamaa ni Socialism lakini yeye mwenyewe alikataa na kusema it was in African way. Nyerere aliheshimu human rights, na freedom of worship kwa individuals na groups ingawa siasa ya chama kimoja ilimtafsiri kama ni dictator (ingawa ni kweli ali-dictate terms).
Zakumi, mie siyo Mjamaa wala bepari wala nani, na sioni katika maelezo yote uliyoongea hapo juu (na kufuatilia katika topic zako) umeongea appreaciations for other issues which this great thinker did. Watu mnasema ati alifeli kwenye Uchumi; please substnantiate it how did he fail us in economy. Hivi kama Nyerere alifeli katika kutekeleza yale ambayo alianzisha, kwa nini wale waliofuata walishindwa kusahihisha? Mwinyi kama angekuwa na uwezo basi angeweza kabisa in 10 years akasahihisha makosa ya Nyerere. Now make a comparison between the 10 years of Mwinyi and the 23 years of Nyerere when did things go more wrong.Kuna factors kama ulivyosema hapo juu during Nyerere kulikuwa na cold war, demise of EAst African Community, Ukame, Vita ya Uganda nk. Umeacha labda factor nyingine kubwa (ambalo lilikuwa ni kosa la Nyerere; Ukombozi wa Africa) ambapo most of the money was used. Lete sasa zama za Mwinyi; what factors? Mkapa inhrited a government which was bankrupt; with brokenup macro economy system, a country without direction. Mwinyi introduced Azimio La Zanzibar ambalo hadi leo lina tu-haunt.
Believe me, waTanzania wengi tuko wajinga, kama other fellow-Africans; labda tu ni kuwa in a cream of our learders we had only one intelligent man, Mr. Nyerere; we didn't understand his theories and teachings. Na sasa hivi it is too late to go back to the Arusha Delaration and amend it for better reading; our minds are already infested; itabidi turudi kwenye mental slavery ileile ambayo Nyerere alitukuta nayo; and tutakosa wa kumlaumu.