Lord rahul coool/zoomshare

Tumsifu Samwel

JF-Expert Member
Jul 30, 2007
1,407
159
Nasumbuliwa na huyu virus pamija na autorun kwenye computer zangu nimejaribu kumtoa kwa kila njia imeshindikana,natumia Antivirus ya Avast version 5 na huwa nai-update kila siku nime scan safemode lakini wapi,Pia kwenye Floppy Disk driver za Computer zangu mbili zina fanya kazi pasipo kuweka Diskette na hii imejitokeza baada ya kupata hawa virus kupitia njia ya flash.

Msaada wenu tafadhali kwa anaye jua namna ya kumtoa hawa virus?
 
Ni virus Mkuu ambaye anasumbua sana kwenye Browser ya Internet Explorer, ina badlisha hadi home page yako inajiweka Zoomshare.

Tumia Browsswe ya Firefox au ya Chrome iliytengenzwa na Google. Nadhani usumbufu wa virus utapungua. kuna watu wanatafuta ajira kwa billgates kwa lazima .Njia waliyoamua kumuonyeshea huwezo wao kwa kutengeza virusi mbuzi

Infact mm kwangu nime disable kabisa IE sababu hata kaa huitumii huwa ina run background . so the best way ni kustopisha service za zake .

vile vile nilisave solution ya mtaalamu 1ja alipendekeza ufanya kati ya haya yafuatayo
A
1) In Windows Explorer
Tools -- Folder Options --View
Show hidden files and folders ---check this one
Hide prorected operation system file(Recommended) --Uncheck this one

2) GO TO System Directoty ex: (C:\windows\ system32)
find this file "Rahul'sVirusprotection.vbe" and delete this one,
if u can't do that following the below steps
1)open the TaskManager(press control+Shift+Escapte key) then in
process Tab find ths Process "wscript.exe" and delete this one
OR
B using Unlocker 1.8.8.exe (search in Google site) for delete this
file
C) Type Regedit.exe into RUN Command
HKEY_CURRENT_USER\ SOFTWARE\ MICROSOFT\ INTERNET EXPLORER\MAIN
[Window Title = ""]
[Start Page = "www.google.com"]
HKEY_LOCAL_MACHINE\SOFTWARE\ MICROSOFT\Windows NT\ CurrentVersion
\Winlogon
[Userninit = "C:WINDOWS\system32\userinit.exe"]

 
Tumia Browsswe ya Firefox au ya Chrome iliytengenzwa na Google. Nadhani usumbufu wa virus utapungua. kuna watu wanatafuta ajira kwa billgates kwa lazima .Njia waliyoamua kumuonyeshea huwezo wao kwa kutengeza virusi mbuzi

Infact mm kwangu nime disable kabisa IE sababu hata kaa huitumii huwa ina run background . so the best way ni kustopisha service za zake .

vile vile nilisave solution ya mtaalamu 1ja alipendekeza ufanya kati ya haya yafuatayo
A
1) In Windows Explorer
Tools -- Folder Options --View
Show hidden files and folders ---check this one
Hide prorected operation system file(Recommended) --Uncheck this one

2) GO TO System Directoty ex: (C:\windows\ system32)
find this file "Rahul'sVirusprotection.vbe" and delete this one,
if u can't do that following the below steps
1)open the TaskManager(press control+Shift+Escapte key) then in
process Tab find ths Process "wscript.exe" and delete this one
OR
B using Unlocker 1.8.8.exe (search in Google site) for delete this
file
C) Type Regedit.exe into RUN Command
HKEY_CURRENT_USER\ SOFTWARE\ MICROSOFT\ INTERNET EXPLORER\MAIN
[Window Title = ""]
[Start Page = "www.google.com"]
HKEY_LOCAL_MACHINE\SOFTWARE\ MICROSOFT\Windows NT\ CurrentVersion
\Winlogon
[Userninit = "C:WINDOWS\system32\userinit.exe"]

how do u dissable IE na services zake,bila kuharibu perfomace
 
Back
Top Bottom