Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,010
Huyu mnako alishapoteaga kitambo toka wamtimue ibra da hustle. Ile skendo ya omy dimpoz alisema kaonewa,sasa na hii vipi? Ahsante weusi kwa kumtimua lord eyes. Mliobaki mnatosha
alianza kupoteana tangu yupo kwenye mahusiano na ray na ndio yeye aliyemfundisha ray c kutumia madawa ya kulevya!
jamaa walikua wamemtenga sana....
Ulikuwepo kipindi eyez akimfundisha ray c kutumia kiariri?.. ray c ndio aliemfundisha eyez kutumia madawa(cocktail/crack). Eyez alikuwa anatumia bangi tuu. Hiyo poda ray c alianza kutumia kenya ndio akaanza kutumia na eyez kwa ku mix na poda...kipindi ray c ana kaduka cha nguo morroco(karibu na best bite) ndio eyez akawa anabembea kwenye gar ya huyo dada kama mjinga flan..
Saa kadhaa baada ya stori kutoka kwamba Msanii wa hiphop Lord Eyez anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi baada ya kuvunja gari la mtu huko Arusha. Kampuni ya Weusi imetoa tamko kuhusu member huyu.
Msemaji wa WEUSI Nikki wa II amethibitisha kuchukua uamuzi huo kwamba wamemwadhibu kwa kumfukuza Lord Eyez kwenye kundi lao.
Saa kadhaa baada ya stori kutoka kwamba Msanii wa hiphop Lord Eyez anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi baada ya kuvunja gari la mtu huko Arusha. Kampuni ya Weusi imetoa tamko kuhusu member huyu.
Msemaji wa WEUSI Nikki wa II amethibitisha kuchukua uamuzi huo kwamba wamemwadhibu kwa kumfukuza Lord Eyez kwenye kundi lao.
Ulikuwepo kipindi eyez akimfundisha ray c kutumia kiariri?.. ray c ndio aliemfundisha eyez kutumia madawa(cocktail/crack). Eyez alikuwa anatumia bangi tuu. Hiyo poda ray c alianza kutumia kenya ndio akaanza kutumia na eyez kwa ku mix na poda...kipindi ray c ana kaduka cha nguo morroco(karibu na best bite) ndio eyez akawa anabembea kwenye gar ya huyo dada kama mjinga flan..
Wakuombewa huyo sijui Lord Eyez.Saa kadhaa baada ya stori kutoka kwamba Msanii wa hiphop Lord Eyez anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi baada ya kuvunja gari la mtu huko Arusha. Kampuni ya Weusi imetoa tamko kuhusu member huyu.
Msemaji wa WEUSI Nikki wa II amethibitisha kuchukua uamuzi huo kwamba wamemwadhibu kwa kumfukuza Lord Eyez kwenye kundi lao.
Haya majizi tu muziki ni kichaka cha kujifichia wakitukwapulia ma laptonga yetu
Mnako hajafukuzwa kundini acheni mboyoyo mingi weusi wako bega kwa bega kumsaidia mwenzao,alafu mnampa kesi ya kumfundisha ngada Ray C kivipi tena wkt bibie alimtaja mtu mwingine wa Kenya ndo alimfundisha.
Dah!,kama ni kweli itakuwa "vibe" sana aisee!