Lord Eyes amefukuzwa kwenye kundi la Weusi

Huyu mnako alishapoteaga kitambo toka wamtimue ibra da hustle. Ile skendo ya omy dimpoz alisema kaonewa,sasa na hii vipi? Ahsante weusi kwa kumtimua lord eyes. Mliobaki mnatosha
 
Ulikuwepo kipindi eyez akimfundisha ray c kutumia kiariri?.. ray c ndio aliemfundisha eyez kutumia madawa(cocktail/crack). Eyez alikuwa anatumia bangi tuu. Hiyo poda ray c alianza kutumia kenya ndio akaanza kutumia na eyez kwa ku mix na poda...kipindi ray c ana kaduka cha nguo morroco(karibu na best bite) ndio eyez akawa anabembea kwenye gar ya huyo dada kama mjinga flan..

Bro uko sahihi sana mana watu wanamsema Lord eyes bila kujua ukweli halisi
 
Msimuhukumu,hizo ni tuhuma tuu na bado upelelezi unaendelea.Tukio analotuhumiwa nalo lilitokea kwa God nanenane njiro.
 
Bora Lodiii arudi AKBOA watampokea huku anapotea!!! Au sukuma ka Bou Nako mbona analisongesha??? Dah Nigger Bronx ndo wanapotea hivi!!
 
Saa kadhaa baada ya stori kutoka kwamba Msanii wa hiphop Lord Eyez anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi baada ya kuvunja gari la mtu huko Arusha. Kampuni ya Weusi imetoa tamko kuhusu member huyu.

Msemaji wa WEUSI Nikki wa II amethibitisha kuchukua uamuzi huo kwamba wamemwadhibu kwa kumfukuza Lord Eyez kwenye kundi lao.

Wamchukue Ibra kuziba nafac...
 
Haya majizi tu muziki ni kichaka cha kujifichia wakitukwapulia ma laptonga yetu
 
Saa kadhaa baada ya stori kutoka kwamba Msanii wa hiphop Lord Eyez anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi baada ya kuvunja gari la mtu huko Arusha. Kampuni ya Weusi imetoa tamko kuhusu member huyu.

Msemaji wa WEUSI Nikki wa II amethibitisha kuchukua uamuzi huo kwamba wamemwadhibu kwa kumfukuza Lord Eyez kwenye kundi lao.

Hajafukuzwa bali amesimamishwa
 
weweee,
exclude marijuana hapo, it is a plant sio drug, a good plant
 
Ulikuwepo kipindi eyez akimfundisha ray c kutumia kiariri?.. ray c ndio aliemfundisha eyez kutumia madawa(cocktail/crack). Eyez alikuwa anatumia bangi tuu. Hiyo poda ray c alianza kutumia kenya ndio akaanza kutumia na eyez kwa ku mix na poda...kipindi ray c ana kaduka cha nguo morroco(karibu na best bite) ndio eyez akawa anabembea kwenye gar ya huyo dada kama mjinga flan..

sio kweli,
ukweli ni huyu mjamaa ndiye alikuwa mwalimu wa ngada kwa mdada na mdada pa1 na yeye wote wamekiri hili
 
Saa kadhaa baada ya stori kutoka kwamba Msanii wa hiphop Lord Eyez anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi baada ya kuvunja gari la mtu huko Arusha. Kampuni ya Weusi imetoa tamko kuhusu member huyu.

Msemaji wa WEUSI Nikki wa II amethibitisha kuchukua uamuzi huo kwamba wamemwadhibu kwa kumfukuza Lord Eyez kwenye kundi lao.
Wakuombewa huyo sijui Lord Eyez.
 
eyes wa wazii..simuogopi mtu ila namuogoa mola...MACHIZI HIP HOP R&B NI NANI...KUSNEY BABU CHII AKAE OLLOOO AVUTE TERI ZA MIANZINI
 
Mnako hajafukuzwa kundini acheni mboyoyo mingi weusi wako bega kwa bega kumsaidia mwenzao,alafu mnampa kesi ya kumfundisha ngada Ray C kivipi tena wkt bibie alimtaja mtu mwingine wa Kenya ndo alimfundisha.
 
Weusi watakuwa ni watu wa ajabu sana kama wataamua kumfukuza au kama wamemfukuza,kwani wanashindwa nini kumsaidia mwanao kama kapotea!

Wangemsimamisha tu kujiusisha na kundi kwasasa huku wakifanya jitihada za kumsaidia mchizi

Ngada noma bab alikula mdogo wangu kidogo nidate,na akaja home akakomba vitu kibao vya thamani akasepa nikamsaka nikampata nikaenda kumtibia mpaka akapona na sahivi anaendelea na chuo fresh tu,,huyo pusha aliyemfundisha hata nisahau milele

Weusi msaidieni mshikaji wenu....namkubali sana Lord Eyes ana-flow moja ya kibabe sana!
 
Mnako hajafukuzwa kundini acheni mboyoyo mingi weusi wako bega kwa bega kumsaidia mwenzao,alafu mnampa kesi ya kumfundisha ngada Ray C kivipi tena wkt bibie alimtaja mtu mwingine wa Kenya ndo alimfundisha.

Dah!,kama ni kweli itakuwa "vibe" sana aisee!
 
Back
Top Bottom