ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 141
Saa kadhaa baada ya stori kutoka kwamba Msanii wa hiphop Lord Eyez anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi baada ya kuvunja gari la mtu huko Arusha. Kampuni ya Weusi imetoa tamko kuhusu member huyu.
Msemaji wa WEUSI Nikki wa II amethibitisha kuchukua uamuzi huo kwamba wamemwadhibu kwa kumfukuza Lord Eyez kwenye kundi lao.
Msemaji wa WEUSI Nikki wa II amethibitisha kuchukua uamuzi huo kwamba wamemwadhibu kwa kumfukuza Lord Eyez kwenye kundi lao.