Looking for a husband

Oh. Nimependezwa na sifa za huyu ms bt nataka kujua kama hajawahi kukutana na mme, tha is if she is virgin. If yes, we may proceed with the marriage arrangements after confirmation.

Halafu wewe,una-confirm vipi sasa kama sikutaka kumchakachua mtoto watu.
 
Sasa Truly nikituma PM maana ykae nakutumia wewe na sio huyo rafiki yako hapo imekaaje au mnasaidiana kuchambua CV l.o.l
 
duh!! dada kwani ukisema ni ww nani atakutoboa kidole cha macho? mwenzio karibia napata, shauri zako!!!!!!!! mficha .............. maradhi humuumbua ati
 
Du inaonekana viwango viko juu, ila kuna maeneo hayajaguswa mfano mtu hajaoa labda kabahatika kuwa na watoto na pengine labda kwa kiasi yuko around ya characters zilizopendekezwa. Changamoto hiyo vp unaweza kulea watoto wa mume mtarajiwa.
 

...siku hizi mnatafutana uchumba utadhani mnakwenda kutoana kafara,
si muanzishe maduka msimame kama midoli mkichaguana?

funny-pictures-kitten-checks-out-chicks.jpg

dah! Jamani!. Dah..
 
Hello wana JF,
Rafiki yangu anatafuta mume wa kufa na kuzikana.

Vigezo ma masharti kuzingatiwa. Naomba niwasilisha kama nilivyotumwa.
Msomi
Miaka awe btn 30-38
Rangi-any
Kabila- any
Religion-Mkristo
Asiwe mnene i mean over weight wala kuwa na ****** makubwa
asiwe na kitambi
asiwe na upara
Urefu wa wastani
Ambae hajawahi kuoa
Loving na awe na mapenzi ya dhati,
caring,
Mvumilivu,
Muelewa,

Sifa za shosti ni hizi

degree holder, ni mweusi, mwembamba, urefu wa wastani, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, Nina miaka 27 na nina kazi.

Jamani rafiki yangu huyu bado hajajiunga na JF ila atajiunga soon. mwenye sifa ani pm nitamfikishia maana huyu ni rafiki yangu. Nawasilisha. Karibuni shemeji watarajiwa

Hizo nyekundu zinaonyesha kuwa ni wewe unatafuta mchumba, kuwa wazi tu ndugu yangu tuko kipindi cha ukweli na uwazi.
 
hello wana jf,
rafiki yangu anatafuta mume wa kufa na kuzikana.

Vigezo ma masharti kuzingatiwa. Naomba niwasilisha kama nilivyotumwa.
Msomi
miaka awe btn 30-38
rangi-any
kabila- any
religion-mkristo
asiwe mnene i mean over weight wala kuwa na ****** makubwa
asiwe na kitambi
asiwe na upara
urefu wa wastani
ambae hajawahi kuoa
loving na awe na mapenzi ya dhati,
caring,
mvumilivu,
muelewa,

sifa za shosti ni hizi

degree holder, ni mweusi, mwembamba, urefu wa wastani, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, nina miaka 27 na nina kazi.

Jamani rafiki yangu huyu bado hajajiunga na jf ila atajiunga soon. Mwenye sifa ani pm nitamfikishia maana huyu ni rafiki yangu. Nawasilisha. Karibuni shemeji watarajiwa


looking for a husband???? And not a man to be husband?

 
Truly, mimi nina sifa zote kasoro moja tu ya uvumilivu.... je rafiki yako yuko tayari kukifumbia macho hicho kigezo niku PM sasa hivi?
 
Hello wana JF,
Rafiki yangu anatafuta mume wa kufa na kuzikana.

Vigezo ma masharti kuzingatiwa. Naomba niwasilisha kama nilivyotumwa.
Msomi
Miaka awe btn 30-38
Rangi-any
Kabila- any
Religion-Mkristo
Asiwe mnene i mean over weight wala kuwa na ****** makubwa
asiwe na kitambi
asiwe na upara
Urefu wa wastani
Ambae hajawahi kuoa
Loving na awe na mapenzi ya dhati,
caring,
Mvumilivu,
Muelewa,

Sifa za shosti ni hizi

degree holder, ni mweusi, mwembamba, urefu wa wastani, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, Nina miaka 27 na nina kazi.

Jamani rafiki yangu huyu bado hajajiunga na JF ila atajiunga soon. mwenye sifa ani pm nitamfikishia maana huyu ni rafiki yangu. Nawasilisha. Karibuni shemeji watarajiwa

hujatenda haki kwa kutumia neno penda!!!!
Sema anataka Mume kupenda au kutopenda haina nafasi katika mfumo ulotumia!!!!
Mpigie huyu rafiki yangu kwenye hii namba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom