Looking for a husband

Hello wana JF,
Rafiki yangu anatafuta mume wa kufa na kuzikana.

Vigezo ma masharti kuzingatiwa. Naomba niwasilisha kama nilivyotumwa.
Msomi
Miaka awe btn 30-38
Rangi-any
Kabila- any
Religion-Mkristo
Asiwe mnene i mean over weight wala kuwa na ****** makubwa
asiwe na kitambi
asiwe na upara
Urefu wa wastani
Ambae hajawahi kuoa
Loving na awe na mapenzi ya dhati,
caring,
Mvumilivu,
Muelewa,

Sifa za shosti ni hizi

degree holder, ni mweusi, mwembamba, urefu wa wastani, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, Nina miaka 27 na nina kazi.

Jamani rafiki yangu huyu bado hajajiunga na JF ila atajiunga soon. mwenye sifa ani pm nitamfikishia maana huyu ni rafiki yangu. Nawasilisha. Karibuni shemeji watarajiwa


Red inaonesha contradiction na hivyo kuna vi-element vya uongo (sifa za kuwa mwongo), why usiseme tu ni wewe unatafuta mwenza?
 
Kasema hivi " awe ameenda kidato, awe na certified vyeti vya chuo kinachojulikana kuanzia diploma to PHD. Maana kuna wengine wana PHD za kupewa. Awe ana weza kuthink critically na ku-analyse mambo kisomi" nawasilisha
 
tulia kaka,nikiendelea kuwa heartbroken nitakufa kwa ugonjwa wa moyo....nimempata nasonga mbele......l.o.l

am just watching!nilitaka tu nione msimamo wako ingawa umempa warning truly lkn nimekusamehe,achana na dig2
 
Red inaonesha contradiction na hivyo kuna vi-element vya uongo (sifa za kuwa mwongo), why usiseme tu ni wewe unatafuta mwenza?

Nilimuuliza toka mwanzo hebu tafuta majibu yake ha ha ha Babaubaya wewe kumbe unasoma katikati ya misitari kama mimi
 
Kasema hivi " awe ameenda kidato, awe na certified vyeti vya chuo kinachojulikana kuanzia diploma to PHD. Maana kuna wengine wana PHD za kupewa. Awe ana weza kuthink critically na ku-analyse mambo kisomi" nawasilisha
Truly kwani ku-analyse na ku-think critically lazima uwe na PHD sasa sijaelewa kama anatafuta mume au anatafuta msomi, unaweza kupata huyo mwenye sijui PHD mara Diploma lakini hajui kuthink na ku-analyse mambo, fahamu fika kwamba hivyo vitu vipo just naturally unaweza kuwa umesoma still ukawa kilaza linapokuja suala la mahusiano so mwambie awe makini sana asije akafikiria PHD na Diploma ndizo zitampa mume bora......Mwisho wa kuwakilisha

TF.
 
Nilimuuliza toka mwanzo hebu tafuta majibu yake ha ha ha Babaubaya wewe kumbe unasoma katikati ya misitari kama mimi[/QUO

Nilishaona jamani nikajibu si msome muone nimesema nini? Nimeshamjibu Lizzy
 
Mwambie nimem-mind~elimu yangu form seven, na kazi yangu mimi ni mvuvi. Kama vipi tujichanganye!.:wink2:

Yegomasika nitakusemea kwa wife..usije ukaoa kisiri siri tena, namwambia ajiunge JF kukata mzizi wa fitina!!.. kwanza hujashtukia ni ndume hilo?! ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom