the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
Dena si umejionea nadhani kwa sasa umeelewa kuwa market price is determined by consumers.Jibu hilo katoa Lizzy
endelea dada kutafuta huyo mume na tena ongeza kasi
Dena si umejionea nadhani kwa sasa umeelewa kuwa market price is determined by consumers.Jibu hilo katoa Lizzy
:focus::ballchain::A S-frusty:Mimi hataki kuniambia nimeona ana mihadi na wiselady sijui anapelekwa wapi
Unampeleka wapi Michelle na kwa nani mpaka kieleweke l.o.loooh real!!halafu mambo yangu na mama obama pls,stop that!
Hello wana JF,
Rafiki yangu anatafuta mume wa kufa na kuzikana.
Vigezo ma masharti kuzingatiwa. Naomba niwasilisha kama nilivyotumwa.
Msomi
Miaka awe btn 30-38
Rangi-any
Kabila- any
Religion-Mkristo
Asiwe mnene i mean over weight wala kuwa na ****** makubwa
asiwe na kitambi
asiwe na upara
Urefu wa wastani
Ambae hajawahi kuoa
Loving na awe na mapenzi ya dhati,
caring,
Mvumilivu,
Muelewa,
Sifa za shosti ni hizi
degree holder, ni mweusi, mwembamba, urefu wa wastani, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, Nina miaka 27 na nina kazi.
Jamani rafiki yangu huyu bado hajajiunga na JF ila atajiunga soon. mwenye sifa ani pm nitamfikishia maana huyu ni rafiki yangu. Nawasilisha. Karibuni shemeji watarajiwa
Mhhhh!!!!! Eti eheeeeee????
Nimeanza kugombana na dada yako Michelle huku kuna mtu anataka kumuuza bila mimi kujua
Unampeleka wapi Michelle na kwa nani mpaka kieleweke l.o.l
:a s 13::focus::ballchain::a s-frusty:
Unampeleka wapi Michelle na kwa nani mpaka kieleweke l.o.l
tulia kaka,nikiendelea kuwa heartbroken nitakufa kwa ugonjwa wa moyo....nimempata nasonga mbele......l.o.l
Red inaonesha contradiction na hivyo kuna vi-element vya uongo (sifa za kuwa mwongo), why usiseme tu ni wewe unatafuta mwenza?
duuhhhhhhhh,kila la kheri kama ni wewe na kama ni rafikiyo mfikishie.....ila huyo alopost wa kwanza anaitwa Hashycool hayuko available....akiku-PM niambie.......[/QUOTE]
Duh!!!!!! l.o.l
Mmmm
Truly kwani ku-analyse na ku-think critically lazima uwe na PHD sasa sijaelewa kama anatafuta mume au anatafuta msomi, unaweza kupata huyo mwenye sijui PHD mara Diploma lakini hajui kuthink na ku-analyse mambo, fahamu fika kwamba hivyo vitu vipo just naturally unaweza kuwa umesoma still ukawa kilaza linapokuja suala la mahusiano so mwambie awe makini sana asije akafikiria PHD na Diploma ndizo zitampa mume bora......Mwisho wa kuwakilishaKasema hivi " awe ameenda kidato, awe na certified vyeti vya chuo kinachojulikana kuanzia diploma to PHD. Maana kuna wengine wana PHD za kupewa. Awe ana weza kuthink critically na ku-analyse mambo kisomi" nawasilisha
Naona kakimbia baada ya kukuonakitaeleweka mara utakaponiletea mtu nyeusi,,oops! I mean hat meka,,nimemmis
:a s 13::a s 13::a s 13::a s 13:kimeshaeleweka sirudi nyuma ng'o....hamjui maumivu niliyopitia kuwa lonely kwa miaka 2....l.o.l
Nilimuuliza toka mwanzo hebu tafuta majibu yake ha ha ha Babaubaya wewe kumbe unasoma katikati ya misitari kama mimi[/QUO
Nilishaona jamani nikajibu si msome muone nimesema nini? Nimeshamjibu Lizzy
:spider::spider:am just watching!nilitaka tu nione msimamo wako ingawa umempa warning truly lkn nimekusamehe,achana na dig2
Mwambie nimem-mind~elimu yangu form seven, na kazi yangu mimi ni mvuvi. Kama vipi tujichanganye!.:wink2:
Nilimuuliza toka mwanzo hebu tafuta majibu yake ha ha ha Babaubaya wewe kumbe unasoma katikati ya misitari kama mimi[/QUO
Nilishaona jamani nikajibu si msome muone nimesema nini? Nimeshamjibu Lizzy
Ndo nilichomwambia Babaubaya