IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 385
Kama wewe ni mwanaume huna haja ya kusoma post hii maana kuna neno 'girl' hapo juu!
Salaamu wadada wazuri wa JF, natafuta binti mzuri wa kitanzania mwenye maadili mema na aliyetulia ,hata kama umepitia historia isiyo nzuri lakina baadaye ukatulia na kufuata maadili mema si mbaya. Nina umri wa miaka 32 , nina kipato kizuri na elimu nzuri.
Binti akiwa na angalau zaidi ya form 6, anayependa kujishughulisha na kujitegemea itakuwa vizuri. Prefered age 19-30yrs
Usisite kunipm
Salaamu wadada wazuri wa JF, natafuta binti mzuri wa kitanzania mwenye maadili mema na aliyetulia ,hata kama umepitia historia isiyo nzuri lakina baadaye ukatulia na kufuata maadili mema si mbaya. Nina umri wa miaka 32 , nina kipato kizuri na elimu nzuri.
Binti akiwa na angalau zaidi ya form 6, anayependa kujishughulisha na kujitegemea itakuwa vizuri. Prefered age 19-30yrs
Usisite kunipm