MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,794
- 3,847
Namba ya Saudi Arabia hiyo....wahi mihela ya mafuta :bounce:iri rinamba ra uarabun uko
Acheni ushamba sasa wakenya hawaishi nchi za nje?sam200 said:Dude thats not a Kenyan phone number!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba ya Saudi Arabia hiyo....wahi mihela ya mafuta :bounce:iri rinamba ra uarabun uko
Acheni ushamba sasa wakenya hawaishi nchi za nje?sam200 said:Dude thats not a Kenyan phone number!!
Best of lucky rafiki,u'll get a decent man thats 4sure.
Namba ya Saudi Arabia hiyo....wahi mihela ya mafuta :bounce:
Acheni ushamba sasa wakenya hawaishi nchi za nje?
Mungu akutangulie umpate decent man kama mimi
Iam a young woman employed as HRO in one of government institutions.
Im looking for a decent man aged 31 to 36 whom I can give my love forever.
Interested? PM for more information.
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.
Sifa zake:
- Awe na Umri usiopita miaka 40
- Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
- Awe na tabia njema na asiwe na tamaa
- Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
- Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
- Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
- Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana
Sifa zangu:
- Umri wangu miaka kati ya 45-50
- Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
- Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
- Sina mke
- Nina watoto wawili
Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com
PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously