Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,646
ha ha ha dah jamani
That is LUMP SOME my dear!
Mungu ni designer namba moja hakuna mpinzani, na katika uumbaji wake hawezi kuumba urembo wa ajabu kama huu. Huyu amejitakia mwenyewe kwa kutumia product za wenye macho madogo.daaah huu kama ni asili na mchina hajahusika hata theluthi basi ni balaa, hata mpiga picha nadhani aliitwa mara kadhaa bila kusikia kama anaitwa kwa kushangaa mabonyeza lol