look at them...

NILHAM RASHED

JF-Expert Member
Nov 29, 2010
1,622
43
kuna hospital moja ya vichaa ilikuwa imeishiwa dawa za kuwapima vichaa akili zao kama wamepona, ikabidi doctor achore alama ya mlango ukutani halaf akawaambia wale vichaa "ATAKAE WEZA KUPITA HAPA AKAONDOKA HUYO ATAKUWA AMEPONA ANARUHUSIWA KWENDA NYUMBANI" basi wale vchaa wote walivyosikia vile wakaanza kugombania kupita ktk ule mchoro, kuna kichaa m1 yeye hakwenda kugombania akabaki anawatizama pemben huku anawacheka wenzie yule Dokta akajua pengine huyu kishapona akamuuliza "WE UNACHEKA NINI?" akamjibu dokta "NAWASHANGAA HAO WANAGOMBANIA KUTOKA NJE WAKATI FUNGUO NINAYO MIMI"
 
kuna hospital moja ya vichaa ilikuwa imeishiwa dawa za kuwapima vichaa akili zao kama wamepona, ikabidi doctor achore alama ya mlango ukutani halaf akawaambia wale vichaa "ATAKAE WEZA KUPITA HAPA AKAONDOKA HUYO ATAKUWA AMEPONA ANARUHUSIWA KWENDA NYUMBANI" basi wale vchaa wote walivyosikia vile wakaanza kugombania kupita ktk ule mchoro, kuna kichaa m1 yeye hakwenda kugombania akabaki anawatizama pemben huku anawacheka wenzie yule Dokta akajua pengine huyu kishapona akamuuliza "WE UNACHEKA NINI?" akamjibu dokta "NAWASHANGAA HAO WANAGOMBANIA KUTOKA NJE WAKATI FUNGUO NINAYO MIMI"

ahaaaaaaaa.......mi mwenyewe nilijua kapona? ahahhaaaaa
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom