Nimekupata mtani, tuwekeni nguvu kwenye mechi zilizobaki kulalamika hakutaongeza pointi, sisi tunalia kunyimwa penati, Mwasika, Twite, Cannavaro, Chuji na Bahanuzi kutoonyeshwa nyekundu na wengine njano, nyie mnalia mlinyimwa goli, Boban kutopewa red na offside nyingi kwa Bahanuzi yote hayo hayawezi kuongeza pointi kwa sasa, bado mechi 21 hivyo bado ubingwa uko wazi kwa timu yoyote.Mtani nilijua tu hujapata fursa ya kuingia jukwaani lkn usingeweza kuiacha thread hii bila neno,anyway hiyo offside nyingine uliyoitaja ya kwako binafsi Mtani,za kwangu ni zile nyingine.
Nashkuru kwa comment yako,mana nlikua najiuliza swali hilohilo...utajuaje ni offside apo mkuu? au unapga ramli?Weka video clip hapo utaonaje au we mganga wa kienyeji?