mtemiwaWandamba
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 561
- 223
Msishangae haya si ndiyo maisha bora kwa kila Mtanzania !!!( slogan ya CCM)
Kasi , hari , nguvu mpya ya kuendeleza maisha bora kwa kil mwananchi.
Lakini Rais aliyeahidi hayo hajui kwanini Tanzania na Watanzania ni Masikini.
2015 Watakuja tena na uongo mwingine mtawachagua tena au la mtakubali kura zenu zichakachuliwe tena.
CCM haikubaliki jamani tushirikiane kuitokomeza
Kasi , hari , nguvu mpya ya kuendeleza maisha bora kwa kil mwananchi.
Lakini Rais aliyeahidi hayo hajui kwanini Tanzania na Watanzania ni Masikini.
2015 Watakuja tena na uongo mwingine mtawachagua tena au la mtakubali kura zenu zichakachuliwe tena.
CCM haikubaliki jamani tushirikiane kuitokomeza