Loo Maskini..hii ni Tanzania??

Msishangae haya si ndiyo maisha bora kwa kila Mtanzania !!!( slogan ya CCM)
Kasi , hari , nguvu mpya ya kuendeleza maisha bora kwa kil mwananchi.
Lakini Rais aliyeahidi hayo hajui kwanini Tanzania na Watanzania ni Masikini.
2015 Watakuja tena na uongo mwingine mtawachagua tena au la mtakubali kura zenu zichakachuliwe tena.
CCM haikubaliki jamani tushirikiane kuitokomeza
 
Msishangae haya si ndiyo maisha bora kwa kila Mtanzania !!!( slogan ya CCM)
Kasi , hari , nguvu mpya ya kuendeleza maisha bora kwa kil mwananchi.
Lakini Rais aliyeahidi hayo hajui kwanini Tanzania na Watanzania ni Masikini.
2015 Watakuja tena na uongo mwingine mtawachagua tena au la mtakubali kura zenu zichakachuliwe tena.
CCM haikubaliki jamani tushirikiane kuitokomeza
tanzania.jpg
 
hapana mi naona kama vile ni congo au south sudan,,na wala si tanzania coz tanzania inamadini,mali asili,na viongozi safi pamoja na siasa safi mkuuu

Madini na mali asili haviwazuii watu kuzaa bila mpango. Sio kila picha inaonesha udhaifu wa serikali, nyingine ni viongozi wa dini kushindwa kuwaeleza waumini wao kuwa 'kale kasehemu katikati ya kiuno' sio ndio maisha.

Tuache kuzaa kama hayawani
 
Mbuzi Mzee kwanza shikamoo
Kuna njia yoyote ya kueza kumsaidia huyo mtoto? tusiwe tunapiga domo tu hapa na huku dogo anapotea Hivi wale watu wa vijisenti wako wapi?
Nchi hii wengi wetu tunaiibia serikali tuseme ukweli kwani wengi wetu tukiachishwa kazi basi mambo yote yanakwenda kushoto, Hakuna afisa hata mmoja wa TRA asieiba na kama yupo mimi nipo tayari kwa ubishi
 
namshukuru mungu, nilishawahi kuishi maisha kama haya utotoni mwangu, kwa kifupi ni kwamba nimekuwa katika maisha kama haya hadi nilipofika miaka 14, namshukuru mungu amenifikisha mbali sasa, nimesoma nimefika mbali, nimetembea nchi za kutosha ulaya na america etc, nina kazi nzuri, nyumba nzuri na biashara nzuri,.. Kweli mungu amenitoa mbali, sifa na utukufu ni kwake.

acha hizo wewe!!!! Unadhani hawa watoto mungu anawachukia??

Ni uzembe tu na mfumo mbaya wa utawala!
 
Mi naona kla mtu ana nafas yke ktka kuyatatua hya matatizo yanayotukabili, collectve responsibllty inahtjka ktka kuyatatua hya so kla mtu awajbke kwa nafas yke so tusiache chombo k1 tu kiwe km ktovu ya uwajibkaj ktk haya yote...
 
hapana mi naona kama vile ni congo au south sudan,,na wala si tanzania coz tanzania inamadini,mali asili,na viongozi safi pamoja na siasa safi mkuuu

Umewaza vyema mkuuu... Hakunaga zaidi ya Tanzania kwa mambo ya siasa safi na uongozi bora!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom