London ni mji Mzuri sana sijaona

Ukirudi Tanzania, basi karibu sana jiji la TABORA. Julius waja lini unione nduguyo? Masanilo nakuandalia kabisa "nswaa" ahh kwa kiswahili kumbikumbi?

060602%20MHC%20Tabora.jpg
 
Ukirudi Tanzania, basi karibu sana jiji la TABORA. Julius waja lini unione nduguyo? Masanilo nakuandalia kabisa "nswaa" ahh kwa kiswahili kumbikumbi?

060602%20MHC%20Tabora.jpg

Krismasi natia timu. Mimi napenda matobolwa. Mwambie Sengi (shangazi) anibakizie angalau nusu gunia...
 
Ukirudi Tanzania, basi karibu sana jiji la TABORA. Julius waja lini unione nduguyo? Masanilo nakuandalia kabisa "nswaa" ahh kwa kiswahili kumbikumbi?

060602%20MHC%20Tabora.jpg

chu! kumbe Tabora kuna MELI?..hy inatoka sikonge kwenda nkinga!...teh teh Wabheja Ghete Ngosha wa kukaya.
 
....Nimebahatika kuja hapa London ........

....Treni zenyewe sio kama za huku kwety tanzania, ....

Ndugu RSaid,
Hongera kwa kufika London, ila nimeshindwa kuelewa kabisa kwamba kwa muda huu uko wapi, London 'kwetu'Tanzania? Zingatia sana hayo maandishi niliyoyakuza na kuweka rangi nyekundu.
Soma katikati ya mistari!


.... jaribu kucopy moja au mawili muhimu uwapelekee bongo land.....

Hilo ni suala muhimu sana katika kujifunza, hasa yale ya kimaendeleo, kama vile mipango miji, usafi na uhifadhi wa taka.
Kwa namna hiyo atakuwa kasaidia nchi.



Huwezi kuniambia chocote kuhusu uzuri wa maandhari ya asilia ya Magu na Lushoto ... Uzuri/ubaya wa kitu ni relative/subjective jamani.


Si Utani.
Nimefika kote huko, kwa mandhari tu kumekaa vema sana. Huenda ndio sababu raisi wa awamu iliyopita aliamua kuweka makazi pale kijijini Mkuzi Lushoto, mkabala na Mullers.


.... . Siku hizi visamvu, mihogo, ndizi mbichi na mzuzu, magimbi, unga wa ugali na vyakula vingine kibao vinapatikana katika masupermarkets makubwa. Wahamiaji wanazibadilisha nchi za magharibi kwa kasi kubwa sana.

Hii ni kweli kabisa!
Ukiachilia nchi za magharibi, hata kwa Tanzania kwa sasa kuna wageni ambao wanauza vyakula vya asili yao.
 
Hii thread bana....it gots to take the cake, kwa kweli.


Nimecheka sana Mkuu anashangaa kuona "Ulaya" Kuna wazungu wengi :shock:

Huyu Mkuu ndio post yake ya pekee hapa JF, labda bado anakushangaa "London"

"ajabu kumbe hata wazungu wanasimama kwenye treni"
 
Nimecheka sana Mkuu anashangaa kuona "Ulaya" Kuna wazungu wengi :shock:

Huyu Mkuu ndio post yake ya pekee hapa JF, labda bado anakushangaa "London"

"ajabu kumbe hata wazungu wanasimama kwenye treni"

Hahahahha anaweza akaja akasema eti "nashangaa watoto wadogo wanaongea kizungu"
 
mkuu karibu london
pia usikose kuja kunitembelea huku Mandela Street.
ushangae maajabu ya uyoga kuuzwa mochwari.
 
Thanx kwa kuwa mkweli.watanzania wengi wanapenda kujifanya wameshazoea wanayoyakuta nchi za watu.kama vile na daresalaam ipo hivyo hivyo.

Natamani watanzania wengi wangekuwa honest kama ulivyo wewe.

Kila mtu ni mshamba sometimes...

Watanzania wajanja wajanja mkubwa! Hata kama ndio kakanyaga leo majuu atapretend kama kaishi huko miaka mingi. Wabongo safi sana ha ha ha
 
Hauzidi mji wa msoga,kata ya lugoba,tarafa ya msoga,jimbo la chalinze wilaya ya bagamoyo mkoa wa pwani. Huku hujafika uone mji af unasifia london!
 
Rsaid Ndiyo maana wakuu wa nchi yako wanapenda kwenda huko kila kukicha!
 
Last edited by a moderator:
Nimebahatika kuja hapa London kwenye mikakati ya kuonyeshwa masuala ya ha ugenini, kwakeli nimeona mambo mengi sana ningependa kueleza wenzangu ambao hamja fika Ulaya.
Jamani huku ulaya kuzuri sana , kila mtu anakusalimia na kuku ambia sorry and excuse me, watu hawa kai ovyo ovyo yani kila kitu ni wanakaakwenye mstari kupata huduma.

Kuna wazungu wengi sana na nilishangazwa kuambiwa eti kunapatikana hapa madukani hata unga wa mhogo kwakweli hiyo imenishangaza sana.

Mji msafi sana , magarimazuri na sio ma kuu kuu , cha ajabu giza linaingia mapema sana , kwakwlei nilishtuka sana kuona hali hiyo mbaka nikadhani labda ndio dunia inakaribia kwisha.

Ukitoka Airport unaingia kweney treni , jamani treni hiyo ya ajabu inapiga chini ya ardhi una shtukia tuu una tokea mjini, kwakweli ni maajabu makubwa sito sahau kuona ilo.

Treni zenyewe sio kama za huku kwety tanzania, ni ziko kiajabu ajabu milango inajiifungua na mnakaa kwa kutizamana , ajabu kumbe hata wazungu wanasimama kwenye treni na hizi hazitumii dizel zinatumia umeme.

Maduka yao yame jaa vtu mali mbali na watu wana fanya biashara muda wote, jamani kwakweli sito sahau niliyo yaona hapa London .asanteni sana.

Huu ushamba sasa..
 
karibu london mi niko hapa bedcover 152 kuna kasehemu kanaitwa yesterday again ulzia ustadhi ferguson restaraunt utatukuta wabongo wazenj twanya kahawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom