tafiti then jadili
Senior Member
- Aug 24, 2006
- 123
- 21
Nilijua tu hii habari isingefika mbali kwa vile haikufuata maadili ya Tafiti then jadili, busara kwa habari kama hii ilikuwa nadhani ni kutafuta ukweli kwanza na kisha kuweka hapa, au kuomba data kiumakini kabisa kama yule ambae alitaka kujua wasifu wa wateule wa Rais ilikuwa kibusara kabisa lakini hapa mtu kakurupuka uuh sasa unashindwa hata kujua mantiki ilikuwa ni nini.
Data za kuwa balozi Mwanaidi alipita hapa akapitishwa ofisini kisirisiri nazichukua with a pinch of salt kwa vile balozi mteule hajawahi kupita hapa UK tangu ateuliwe! amekuja baada ya muda kadhaa akiwa Dar presumably wizarani for formalities, tangu uteuzi hajapita hapa zaidi ya alivyokuja two fridays ago kuanza majukumu rasmi. tafiti utajua.
Nimemtembelea Balozi Kibelloh ofisini kwake mara mbili akiwa ofisini na nilikwenda kumuaga habari njema za kwenda France zilipokuja na hii ilikuwa very punde before he left, hakuna picha za mabalozi wa zamani ofisini kwake wala kwenye foyers leading to his offices zaidi ya picha yake na Malkia Elizabeth.
Kikubwa kilichopo ni orodha kwake ni picha kuubwa ya rais JK na bendera ikipepea na pia kuna kitabu cha wageni ambacho kina orodha ya mabalozi wetu pale.
Hizi habari muwe mnachunguza, otherwise mtakuwa mnatuletea non-issues hapa, lakini kama alivyosema Mwanakijiji read at your own peril...
Data za kuwa balozi Mwanaidi alipita hapa akapitishwa ofisini kisirisiri nazichukua with a pinch of salt kwa vile balozi mteule hajawahi kupita hapa UK tangu ateuliwe! amekuja baada ya muda kadhaa akiwa Dar presumably wizarani for formalities, tangu uteuzi hajapita hapa zaidi ya alivyokuja two fridays ago kuanza majukumu rasmi. tafiti utajua.
Nimemtembelea Balozi Kibelloh ofisini kwake mara mbili akiwa ofisini na nilikwenda kumuaga habari njema za kwenda France zilipokuja na hii ilikuwa very punde before he left, hakuna picha za mabalozi wa zamani ofisini kwake wala kwenye foyers leading to his offices zaidi ya picha yake na Malkia Elizabeth.
Kikubwa kilichopo ni orodha kwake ni picha kuubwa ya rais JK na bendera ikipepea na pia kuna kitabu cha wageni ambacho kina orodha ya mabalozi wetu pale.
Hizi habari muwe mnachunguza, otherwise mtakuwa mnatuletea non-issues hapa, lakini kama alivyosema Mwanakijiji read at your own peril...