IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,460
- 7,371
Sidhani kama Mwarabu anahusika, yeye Loliondo kaichukulia kama sehemu ya kuficha uovu kulingana na maadili ya dini yake. Hana shida kimsingi.
Na huyu mwarabu anafichaje hayo maovu_yanayolingana na dini yake mkuu,hebu kaufafanuzi kidogo hapo kiongozi wangu!