Kuna wakati tulijadili hapa kwamba serikali imefilisika, ukweli au si ukweli si hoja, lakini huwezi kuamini mimi ni mfanyakazi wa serikali hadi leo tarehe 6 mshahara haujaingia. Serikali ya JK afadhali hata Mwinyi. Mwinyi alikuwa anachelewesha ila tarehe 6 bila mshahara ni record mpya kuvunjwa. 2015 itafika kweli kwa uongozi huu dhaifu? Tusubiri tuone