LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
Kuna mtu ameniambia kwamba unaweza kuzuia mimba kwa njia hii badala condom
kwamba siku mbili kabla ya ku do mwanaume anaweza akazitoa mbegu (kama atapiga puny*to sawa) halafu ndo aje ku do na mwanamke (awe wako na mnaaminiana yani mmepima)bila hata kinga nasikia mwanamke hawezi kupata mimba hata akiwa siku za hatari
sababu: anadai kwamba ili mbegu ziweze kuzalisha zinahitaji walau masaa 120 sawa na siku 5 ili zikomae kuwezakuzalisha na kama hazija komaa haziwezi kuzalisha je swala hili ni kweli???? naomba wataalamu mtusaidie
kwamba siku mbili kabla ya ku do mwanaume anaweza akazitoa mbegu (kama atapiga puny*to sawa) halafu ndo aje ku do na mwanamke (awe wako na mnaaminiana yani mmepima)bila hata kinga nasikia mwanamke hawezi kupata mimba hata akiwa siku za hatari
sababu: anadai kwamba ili mbegu ziweze kuzalisha zinahitaji walau masaa 120 sawa na siku 5 ili zikomae kuwezakuzalisha na kama hazija komaa haziwezi kuzalisha je swala hili ni kweli???? naomba wataalamu mtusaidie