Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 683
Jamani mtakumbuka mwaka 2009 jamaa wa GTV walipokumbwa na mtikisiko wa uchumi wa dunia na wakasepa kiaina. Hata hivyo watu tuliendelea kupata Free To Air channels katika receiver yao, nakumbuka zilikuwa channels za nchi za Afrika kama Angola, Togo, Senegal na nyingine nimesahau. Binafsi nilihama makazi yangu ya awali nilikofungiwa dish, na huko nilikohamia imebidi nitundike upya hilo dish. tatizo linalonikumba ni kutofahamu location ilipo satellite ya FTA channels za GTV (kama bado zinaexist) lengo ni kuweza kulielekeza dish langu dogo la GTV. Nimejitahidi kuelekeza West kama ilivyokuwa awali, lakini bado Quality ni 0% na hivyo siwezi kuscan channels kwa mafanikio. Kwa kuwa ni muda kidogo tangu nihame, huenda kuna mabadiliko fulani hapo. Sasa mnaotumia hii service naombeni mnielekeze walau nipate ladha tofauti. Sitaki kulipia channels kwa kuwa sishindi sana nyumbani, halafu mambo ya kulipia yamekuwa mengi sana, vyakula, usafiri, umeme, maji, gesi, mshahara wa house girl, michango ya masherehe, yaani hakuna balance bongo hii! Nimeimiss Setanta, ingawa wanapenda kuonyesha recorded!
Naombeni mnipe location ya sat
Naombeni mnipe location ya sat