habarini wadau , tunatafuta location nzuri kwa ajili ya kipindi cha mahojiano ya television, tutaonyesha eneo husika, eneo liwe ni zuri kwa ajili ya burudani, exciting , entertainment au kitu chochote kile ambacho ni kizuri kwa kuona, kutalii, kustarehe, urembo au kitu chochote kizuri amacho mtu atafurahia. liwe ni ndani ya dar es salaam . mwenye uwezo/anayehitaji , ani pm , hakuna malipo yoyote yatakayohusika.